DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #121
Nimeajiriwa Nikiwa na Miaka 31 ππHeshima yako mkuu,. Laah π€π€
Sema zamani mlikua mnaajiriwa mkiwa bado wadogo,.
Mangi umezaliwa 80? πΊIla kweli kwa sababu hata mimi naona 1980 ni mbali ila kuna watu wanaona ni juzi tu.
Ehh Lora?? Mkuu hiyo lora si id ya kike? πΉπΉπΉπ€£π€£π€£
BEFORE nilikuwaga na I'd inaitwa
Fellow Tablet
Kabla ya hiyo nilikuwa na I'd inaitwa King Julien na kabla ya King Jullien nilikuwa na I'd inaitwa Lora hebu piga mahesabu hapo. Hivi unajua humu Jamiiforums tulikuwa kwenye mchakato wa kuanzisha Jamii Empowerment Saccos? Halafu mimi nilikuwa ni moja ya waandamizi?
Mimi ni Kikongwe ujue πππ
Hujaona alikuwa anajiita Lora eti πΉπΉMmmh,. Wenzio kina Nyani Ngabu wamebaki nazo zilezile hawahitaji maneno mengi kutushawishππ,.
Kwanza Kwanini ulibadili I'd ?
Aah baaasi inatosha .So Ur turning 53 this yearπ§Nimeajiriwa Nikiwa na Miaka 31 ππ
Hapo Nishachanganyikiwa na Shule..
Chuo nishapiga Miaka 6 Kitaa nishahustle kama Miaka 4 au mitano hivi ndo nikapata Ajira ya Serkali..
π π
Nilibakiza Miaka 14 Iwe Kikomo cha Kuajiriwa Serkalini so Niliajiriwa na Miaka 31..
Hahahππ,. Mie ngoja badae huko nijiite mwamedi nianze kusumbua vibintiπ€πHujaona alikuwa anajiita Lora eti πΉπΉ
Hilo nakuunga mkono πΉπΉGenta ana I'd mbili 2 hana hata content gani za maana? Zaidi ya kuokoteza habari kwenye vijiwe tu?
Hongereni sana aisee,.
Kweli tunatakiwa tuwe na adabu,. Kuna wazazi humu
Na huyo mama yako ni mimi ππββοΈπββοΈπββοΈ1996 mama yangu ndo yupo form 3
Yeah ni sahihiπ€Unatakiwa uwe na hekima na busara tu inatosha...
Hata mkubwa anapaswa kumuheshimu mdogo...
mke tulia.Na huyo mama yako ni mimi ππββοΈπββοΈπββοΈ
πΉπΉπΉ Khaaa.!!ilivyokaa kama vile visaiti vya kudownloadia Mitihani ya NECTA.
Hahahaa wengine tumeanza kuwa na access na mitandao ingali tukiwa wadogo sana.Mmh,. Ila nyie π€
Niko poa kabisaPoa
Mambo
1996 mama yangu ndo yupo form 3
Umeanza dharau dogo, wewe nakuzaa huku napiga deki mfyuuu πΉπ€£π€£mke tulia.
Sio kweli aisee 2013 upo std 6 aiseee π€£π€£π€£Taratibu basi wasije wakasikiaπ€π
ILa wewe 2013 mie niko S.t.d 6,. Wewe age mate kabisa
Laah ulikua na 23 mwaka huo 2006π€π€,.
Kweli bado nina safari ndefu sana
Chamsingi mkifa mie nitakua nawahadithia watoto habari na nyuzi zenuπ€π
mimi kidume tayari bado tu kuanzisha boma languUmeanza dharau dogo, wewe nakuzaa huku napiga deki mfyuuu πΉπ€£π€£