Muheshimiwa, hebu tupo nondo. Hiyo darhotwire ilikuwaje kuwaje? we
mimi nikiwa darasa la 3.Duuh,. Ila kuna watu ni wazamani sana humu aisee 2006 parefu nyie
Sidhani kama nlikua najua vingine ukiachana na jina langu,. Labda na A for Apple
Oa kijana wangu uniletee mka mwana 😹mimi kidume tayari bado tu kuanzisha boma langu
Ule Omukaya ghete, nagisanga nu namhala Uloa Zanzibar ng'waka 2011 uzenganga koiNafumile Igangabhilili.
Nkhuloyo uyu 🤣🤣🤣Mwagoko ngaro
mara uniite dogo, mara daddy king kong😅Oa kijana wangu uniletee mka mwana 😹
😅Kwamba Sasa olena mahana khe ngaroNkhuloyo uyu 🤣🤣🤣
Oh father Nyani Ngabu ale ntale wise 😁ligendi ng'ana ng'anaNkhuloyo uyu 🤣🤣🤣
Hatari sana ile JF, siasa za moto mnoo BAN zilikuwa za kugusa tu, tofauti na sasa uhuru umezidiNilikuwa Natimiza Miaka 10 Tangu Niajiriwe..
Maana Nimeajiriwa Mwaka 2003 Tarehe 26 Mwezi wa 10 Mkoa wa Morogoro.. Hii Ndo ajira yangu ya kwNza Kabla sijahama hama Sehemu mbalimbali na Hatimae Nipo Sehemu X sasa Hivi
Jf Nilijiunga Tangu mwaka 2006 ila Avcount yangu Ilipigwa Ban 😅😅 nikafungua nyingine 2012 Nilikuwa mtukutu Enzi hizo..
(Si unajua jf ya Kipindi Kile ilikuwa Siasa sana)
Twende na mtoto wangu 😹mara uniite dogo, mara daddy king kong😅
amua moja
Utoto/ujinga/ tu hata tigo Pesa na MPesa hazikuwepoEhh Lora?? Mkuu hiyo lora si id ya kike? 😹😹😹
Ulikuwa unaombea afu tatu za watu pm Manyanza 😹🤣🤣
Sasa babu kubadili 😅id ya kike huoni kama ungetekwa mkuuUtoto/ujinga/ tu hata tigo Pesa na MPesa hazikuwepo
nakataa aiseeTwende na mtoto wangu 😹
Hizo zingine achana nazo
Yeah ni sahihi🤝
Heri ya mwaka mpya lakini
Aisee hebu jaribu kupitia jukwaa MMU ya zamani. Humu sasa hivi kumelegea sana hata lile robot la Jamiiforums halipo tena. InvisibleSasa babu kubadili 😅id ya kike huoni kama ungetekwa mkuu
Kweli she is 26,27 below 29 huyunakataa aisee
binti mbichi kabisa wewe
huna hata 30
Kaka yako, our native language is very difficult to write😅Kwamba Sasa olena mahana khe ngaro