Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Nimeleta hapa kwa lengo la kutaka watu wawe macho na matapeli wa aina hii. Kumbuka sio wote ambao washawahi kukumbana na matapeli hawa. Na pia ni lazima kuna watu tena watanzania wenzetu maskini washalizwa na matapeli haya kwa sababu ya kutokosa kujua mambo haya.

Sasa kuleta hapa habari za aina hii tena nikiambatinisha na namba kutawasaidia na wengine kuwa macho zaidi na hawa wahuni.
Achana nao hao hawana tofauti na huyo mnijeria, wanadhani kila mtu anajua kila kitu.
 
Kuna jamaa nilichat naye akijifanya yeye ni Cathy Lien, nilienda naeeeenikimuuliza maswali kadhaa mwisho wa siku akachoka yeye, hakunitafuta tena.

NB:hizi mambo za cryptocurrency wanalizwa watu wengi sana
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.

Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.

Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!

Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.

Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe 😂😂😂

View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
Umejuaje kama katokea lagos mashambani 🤣
 
Kwa hiyo kama nyie mnajua mmeona mleta mada ni mjinga kuleta stor yake hapa

Common sense
Mkuu kwani wabongo hautuelewi? Sifa kubwa ya mbongo tena mwana JF ni ujuaji, humu ndani wajuaji wengi mno.

My take; post ni elimu kwa wengine binafsi hua napokea mail nyingi toka kwa hawa scammers wa mitandani.
 

Attachments

  • Screenshot_20230203-130624.jpg
    Screenshot_20230203-130624.jpg
    49.8 KB · Views: 4
Hata sikumbuki mara ngapi nakutana na huu utapeli wa kishamba
Wapumbavu sana hawa jamaa. Sema wajinga wa aina hii ukiwakalia kimya wataendelea kujiona washindi, dawa ni kuwachana chana tu namna hii.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.

Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.

Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!

Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.

Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766

Mbona hujatupa mpaka mwisho alisemaje????
 
Back
Top Bottom