Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nao hao hawana tofauti na huyo mnijeria, wanadhani kila mtu anajua kila kitu.Nimeleta hapa kwa lengo la kutaka watu wawe macho na matapeli wa aina hii. Kumbuka sio wote ambao washawahi kukumbana na matapeli hawa. Na pia ni lazima kuna watu tena watanzania wenzetu maskini washalizwa na matapeli haya kwa sababu ya kutokosa kujua mambo haya.
Sasa kuleta hapa habari za aina hii tena nikiambatinisha na namba kutawasaidia na wengine kuwa macho zaidi na hawa wahuni.
Magonjwa yako mengi mkuu sema mengine hayajatambulika na kuorodheshwa.Hivi tunatakiwa kukariri code number za dunia nzima?
Umejuaje kama katokea lagos mashambani 🤣Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.
Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!
Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.
Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe 😂😂😂
View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
Mkuu kwani wabongo hautuelewi? Sifa kubwa ya mbongo tena mwana JF ni ujuaji, humu ndani wajuaji wengi mno.Kwa hiyo kama nyie mnajua mmeona mleta mada ni mjinga kuleta stor yake hapa
Common sense
Kuna ulazima gani wa kuijua?Kwa hiyo wewe code number ya nigeria huijui? Basi ata ya marekani 😳,ulikuwa huna haja ya ku google 🤣
Inategemea na umri wake pengine ni kweli Mara ya kwanza na anajiona amemzidi akili negro kutoka Lagos hahahahahahhKumbe wewe ndo mara ya kwanza kukutana na hao jamaa baba?
Yani mpaka umeyaleta jf unajiona kama umeachieve kitu kikubwa sana[emoji3]
Alijaribu kujitetea lkn mwisho aliona nimeshamgundua akaamua ku block namb na picha yake haikuonekana tena.Baada ya hapo alijibu nini
Hilo ndo nililokosea mkuu.Ungemwambia atafute mume amlee,maana anapenda pesa ya bure.
Hawajielewi hao, ukute kati yao mmoja wao au wote wawili wameshapigwa.Kwa hiyo kama nyie mnajua mmeona mleta mada ni mjinga kuleta stor yake hapa
Common sense
Kwani mimi siwezi kuwa US na WhatsApp nikatumia namba ya TZ?Amna mkuu nimeweka hizo code ili kuzuia uhalifu huu usije kutokea kwa wale ndugu zetu ambao hawajui wala hawawajui matapeli hawa 😂😂
Ndo hapo sasa. Mtu ukariri code ya Nigeria ili iweje!Hivi tunatakiwa kukariri code number za dunia nzima?
Wapumbavu sana hawa jamaa. Sema wajinga wa aina hii ukiwakalia kimya wataendelea kujiona washindi, dawa ni kuwachana chana tu namna hii.Hata sikumbuki mara ngapi nakutana na huu utapeli wa kishamba
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.
Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!
Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.
Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766