Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Kwanini umkate kimba wakati anaendelea kunya?

Kama wewe ni mjanja wa mjini kama unavyojinasibu, ungemsongesha hadi tuone sura halisi ya ujanja wako wa namna ya kukwepa majanga kijanja, pia tuone namna "kikulacho" alivyojishughulisha kupoteza muda wake wa kukushawishi kisha kukukosa.

Haiwezekani upigiwe na tapeli la "tuma kwenye namba hii" halafu ulitukane na kulistopisha, kisha uje kuanza kujigamba kwamba umekoswa koswa kutapeliwa!?

Hayo uliyotuonesha yalikuwa ni maongezi tu ya kishikaji hasa kwa mtu ambaye simu yake ili-missbahave na kukosea destination address halisi ya mawasiliano yake.
Mimi ni mtu mwenye mishe zangu, kwahiyo sikuwa na muda wa kuchezea kumbembeleza tapeli. Hata hayo maongezi mawili matatu ni kwa sababu nilikuwa nipo lunch kwahiyo ndo maana tuliweza kutumiana hata hizo mesej mbili tatu.

Pengine wewe ungeweza kutapeliwa lkn kwa mimi hilo haliwezekani hata tungeongea nae kutwa nzima huku jamaa akiwa na wenzake zaidi ya 20 wangechemsha tu mkuu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.

Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.

Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!

Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.

Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe 😂😂😂

View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
Hao jamaa bado kidogo wanikamate kwenye betting kipindi hicho miaka ya 2010 ndo online betting inaanza kuwa maarufu bongo jamaa mmoja akajidai anauza fixed matches, sasa anatuma mkeka umezibwa options na namba ya ticket katika kufanya fanya utundu nikapata namba ya ticket alivyokuja kuweka wazi mkeka baada ya mechi kuisha ile kuangalia ile namba nakuta ni mkeka tofauti nikashtuka
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.

Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.

Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!

Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.

Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
Mm hao wamenijaribu mwaka2019 HV sasa wee leo ndio unawajuwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimeleta hapa kwa lengo la kutaka watu wawe macho na matapeli wa aina hii. Kumbuka sio wote ambao washawahi kukumbana na matapeli hawa. Na pia ni lazima kuna watu tena watanzania wenzetu maskini washalizwa na matapeli haya kwa sababu ya kutokosa kujua mambo haya.

Sasa kuleta hapa habari za aina hii tena nikiambatinisha na namba kutawasaidia na wengine kuwa macho zaidi na hawa wahuni.
Kuna mmoja alikuwa ananisumbuaa mwanamke nikaja mtumia lipicha lenye liboroo aliishia kucheka ajakah sawa nikamtumia ya kugegedana bas tukawa marafiki huku Bado akitaka kunitapeli tu hukuambulia kitu Zaid Sana video za ngono tukizotumiana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wajinga nimeanza kukutana nao tangu enzi hizo anajifanya ni muhanga wa vuta sjui wana treasure wapi huko hivyo akipata mtu anamuoa ndo atakabidhiwa... Ukijicgangamya unapewa namba ya mchungaji huko cameroon blah blah blah.... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Hao jamaa bado kidogo wanikamate kwenye betting kipindi hicho miaka ya 2010 ndo online betting inaanza kuwa maarufu bongo jamaa mmoja akajidai anauza fixed matches, sasa anatuma mkeka umezibwa options na namba ya ticket katika kufanya fanya utundu nikapata namba ya ticket alivyokuja kuweka wazi mkeka baada ya mechi kuisha ile kuangalia ile namba nakuta ni mkeka tofauti nikashtuka
Kama usingekuwa makini siku hiyo ungepigwa vibaya ndugu yang. Haya mambo watu wanayachukulia poa, lkn kuna watu kibao wasiokuwa makini au kufahamu mambo haya wanaumizwa.
 
Mm hao wamenijaribu mwaka2019 HV sasa wee leo ndio unawajuwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mimi nilikuwa nawajua kupitia watu wengine waliokumbana na mitihan ya aina hii. Ila kwa upande wang jana ndo ilikuwa siku ya kwanza kupokea message hii. Na mimi sikupenda nimkaushie au nitoke bila kumuachia neno kwamba si watu wote wanaoweza kutapeliwa kijinga jinga namna hii. Wengine tuko makini zaidi ya vile walivyo wao.
 
Kuna mmoja alikuwa ananisumbuaa mwanamke nikaja mtumia lipicha lenye liboroo aliishia kucheka ajakah sawa nikamtumia ya kugegedana bas tukawa marafiki huku Bado akitaka kunitapeli tu hukuambulia kitu Zaid Sana video za ngono tukizotumiana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukute huyo hakuwa mwanamke bali ni lidume lililotumia picha ya mwanamk ili aweze kuwatapeli vizuri wafungua zipu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.

Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.

Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!

Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.

Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe 😂😂😂

View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
Safi sana
Kiingereza cha AM GONA GO... kimenibamba hapa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeleta hapa kwa lengo la kutaka watu wawe macho na matapeli wa aina hii. Kumbuka sio wote ambao washawahi kukumbana na matapeli hawa. Na pia ni lazima kuna watu tena watanzania wenzetu maskini washalizwa na matapeli haya kwa sababu ya kutokosa kujua mambo haya.

Sasa kuleta hapa habari za aina hii tena nikiambatinisha na namba kutawasaidia na wengine kuwa macho zaidi na hawa wahuni.
Hamna mwanzo ulikuwa unajibrag kuwa we ni mjanja[emoji2][emoji2][emoji38]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Westerners hao ni Balaa sio Nigeria tu hata Ghana nao wako njema, Lakini Mostly tunakuwa Coined kwa Vile tu hatuna basics za kulinda taarifa zetu mitandaoni, Tuna Overshare vitu kitu ambacho kinapelekea attackers kukushambulia kirahisi
 
Kuna mmoja alikuwa ananisumbuaa mwanamke nikaja mtumia lipicha lenye liboroo aliishia kucheka ajakah sawa nikamtumia ya kugegedana bas tukawa marafiki huku Bado akitaka kunitapeli tu hukuambulia kitu Zaid Sana video za ngono tukizotumiana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahahahahaha....ngoja akuweke kwenye porno site

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom