EL_CHAPO_UNO
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 273
- 508
Here waiting for your guts [emoji871][emoji187]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabahati uzi ni wa kwangu sitaki kuuharibu. Ila nime mark jina lako tutakutana kwenye thread zingine.Here waiting for your guts [emoji871][emoji187]
Yaani nitapeliwe hata mimi!Mimi ni mtu mwenye mishe zangu, kwahiyo sikuwa na muda wa kuchezea kumbembeleza tapeli. Hata hayo maongezi mawili matatu ni kwa sababu nilikuwa nipo lunch kwahiyo ndo maana tuliweza kutumiana hata hizo mesej mbili tatu.
Pengine wewe ungeweza kutapeliwa lkn kwa mimi hilo haliwezekani hata tungeongea nae kutwa nzima huku jamaa akiwa na wenzake zaidi ya 20 wangechemsha tu mkuu.
Iliishiaje?Kunamwamba mmoja mnaijeria aliuzia bank moja huko Brazil Airport ya umma kwa dola za kimarekani millioni 250
Kutapeliwa ni fedheha kubwa mno 🤣🤣🤣Yaani nitapeliwe hata mimi!
Basi dunia itakuwa imefikia ukingoni mwake waalah!
Kuibiwa sikatai, lakini kutapeliwa ninakataa kwa big NO!
Na wengine hutapeliwa na matapeli wenzao.Iliishiaje?
Ila mara nyingi mwisho wao hudhalilika sana kwa vifungo.
Kajiamini, anasema tupigiane video call muda wowote nikipata nafasi, kaniweza ila kanaweza iba sura kupitia video call.Ukitaka kumpatia mpigie whatspp video kamwe hatoitika atakuletea maelezo yasioeleweka.
Mkuu nakuhakikishia kwamb huyo tapeli alikuwa anataka kukupima imani na akili, kwa kujifanya anakwambia eti muda wowote ukitaka video call umpigie. Ukweli ni kwamba kama ungempigia asingeitika au angeitika na usingemuona yey sura yake, na baadae angeleta visingizio kuwa sim yake ilianguka na camera ikavunjika nk.Kajiamini, anasema tupigiane video call muda wowote nikipata nafasi, kaniweza ila kanaweza iba sura kupitia video call.
Sasa najiuliza, inawezekana huyu mzungu Yuko hostage, maana sikutegemea jibu lile.
Kweli kabisa.Mkuu nakuhakikishia kwamb huyo tapeli alikuwa anataka kukupima imani na akili, kwa kujifanya anakwambia eti muda wowote ukitaka video call umpigie. Ukweli ni kwamba kama ungempigia asingeitika au angeitika na usingemuona yey sura yake, na baadae angeleta visingizio kuwa sim yake ilianguka na camera ikavunjika nk.
Na kama sio hivyo basi labda awe anafanya kazi na huyo mwanamke wa pichani ili kutapeli watu.
Hawa washenzi tunawajua vizuri sana ndomaana inakuwa ngumu wao kututapeli.Kweli kabisa.
Mimi wamenifuata Instagram wawiliWanasumbua sana,ila ukiwa hujatulia lazima ulizwe...
Hio ndio JF bhana [emoji23][emoji23][emoji23]Hivi tunatakiwa kukariri code number za dunia nzima?
Tuishi nao Kwa akili sana mkuu.Hawa washenzi tunawajua vizuri sana ndomaana inakuwa ngumu wao kututapeli.
Baada ya kufuatwa ilikuaje? Ulipangua au uliingizwa chaka?Mimi wamenifuata Instagram wawili
Hakika!Hio ndio JF bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakubali mkuu 😂🤣🤣Tuishi nao Kwa akili sana mkuu.
Broken English. Your a Nigeria....Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.
Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!
Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.
Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe 😂😂😂
View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
No, i'm SenegaleseBroken English. Your a Nigeria....