Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Mimi ni mtu mwenye mishe zangu, kwahiyo sikuwa na muda wa kuchezea kumbembeleza tapeli. Hata hayo maongezi mawili matatu ni kwa sababu nilikuwa nipo lunch kwahiyo ndo maana tuliweza kutumiana hata hizo mesej mbili tatu.

Pengine wewe ungeweza kutapeliwa lkn kwa mimi hilo haliwezekani hata tungeongea nae kutwa nzima huku jamaa akiwa na wenzake zaidi ya 20 wangechemsha tu mkuu.
Yaani nitapeliwe hata mimi!
Basi dunia itakuwa imefikia ukingoni mwake waalah!
Kuibiwa sikatai, lakini kutapeliwa ninakataa kwa big NO!
 
Ukitaka kumpatia mpigie whatspp video kamwe hatoitika atakuletea maelezo yasioeleweka.
Kajiamini, anasema tupigiane video call muda wowote nikipata nafasi, kaniweza ila kanaweza iba sura kupitia video call.
Sasa najiuliza, inawezekana huyu mzungu Yuko hostage, maana sikutegemea jibu lile.
 
Kajiamini, anasema tupigiane video call muda wowote nikipata nafasi, kaniweza ila kanaweza iba sura kupitia video call.
Sasa najiuliza, inawezekana huyu mzungu Yuko hostage, maana sikutegemea jibu lile.
Mkuu nakuhakikishia kwamb huyo tapeli alikuwa anataka kukupima imani na akili, kwa kujifanya anakwambia eti muda wowote ukitaka video call umpigie. Ukweli ni kwamba kama ungempigia asingeitika au angeitika na usingemuona yey sura yake, na baadae angeleta visingizio kuwa sim yake ilianguka na camera ikavunjika nk.

Na kama sio hivyo basi labda awe anafanya kazi na huyo mwanamke wa pichani ili kutapeli watu.
 
Mkuu nakuhakikishia kwamb huyo tapeli alikuwa anataka kukupima imani na akili, kwa kujifanya anakwambia eti muda wowote ukitaka video call umpigie. Ukweli ni kwamba kama ungempigia asingeitika au angeitika na usingemuona yey sura yake, na baadae angeleta visingizio kuwa sim yake ilianguka na camera ikavunjika nk.

Na kama sio hivyo basi labda awe anafanya kazi na huyo mwanamke wa pichani ili kutapeli watu.
Kweli kabisa.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.

Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.

Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!

Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.

Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe 😂😂😂

View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766
Broken English. Your a Nigeria....
 
Back
Top Bottom