castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Naam. Hilo ndilo jukumu la kanisa moja , takatifu, katoliki la mitume.View attachment 3198382
===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.
Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc
Kazi kubwa ya Padre au Askofu Mkatoliki kwa jamii ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa , Mirathi , biashara na mafarakano mengine yoyote,
Wanaoshangaa Padre Dkt Kitima wa TEC kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki kwani hakuna jambo la kushangaza hapo.
Hongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo
Ukisoma kitabu kitakatifu Cha mwinjili ya Mathayo 5:9 Yesu mwenyewe amefundisha hivi,
"Heri wapatanishi, Maana hao wataitwa wana wa Mungu"
Au kwa kimombo "Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God"
Nchi ngumu sana hii, Maaskofu wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inakuwa sawa, ila wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu inakuwa nongwa. Hii imekaaje?
Fr huwa namwelewa sana hasa kwenye ibadaKitima ni balaa na nusu
Mauaji ya kimbari Rwanda kanisa Katoliki lilihusika unasemaje kuhusu hilo?Naam. Hilo ndilo jukumu la kanisa moja , takatifu, katoliki la mitume.
Kanisa limeyafanya hayo karne na karne. Kazi kama hiyo ilikua ikifanywa na Mtakatifu George miaka 333B.K na St. Inyasi wa Loyola wakati wa mageuzi ya Ulaya.
Nasi, tutaendelea kuifanya kazi hio vizazi na vizazi.
#Proud Catholic
Uko sahihi kabisaNi watu wasioelewa wanaweza mdhambulia kitima
Hatakiwi kupatanisha kwa siri bila maboss wake kujua.View attachment 3198382
===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.
Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc
Kazi kubwa ya Padre au Askofu Mkatoliki kwa jamii ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa , Mirathi , biashara na mafarakano mengine yoyote,
Wanaoshangaa Padre Dkt Kitima wa TEC kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki kwani hakuna jambo la kushangaza hapo.
Hongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo
Ukisoma kitabu kitakatifu Cha mwinjili ya Mathayo 5:9 Yesu mwenyewe amefundisha hivi,
"Heri wapatanishi, Maana hao wataitwa wana wa Mungu"
Au kwa kimombo "Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God"
Nchi ngumu sana hii, Maaskofu wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inakuwa sawa, ila wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu inakuwa nongwa. Hii imekaaje?
Kupatanisha wanasiasa kwa siri bila boss wake kujua ni kosa kubwa kwa RC.Ni watu wasioelewa wanaweza mdhambulia kitima
Kuna mmoja anaonekana hajaridhika kabisa na upatanishoHongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo
Hizo ni propaganda zenu chafu dhidi ya Mama kanisa. Na hazitashinda kamwe.Mauaji ya kimbari Rwanda kanisa Katoliki lilihusika unasemaje kuhusu hilo?hi
Yes Yuko vizuriFr huwa namwelewa sana hasa kwenye ibada
View attachment 3198382
===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.
Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc
Kazi kubwa ya Padre au Askofu Mkatoliki kwa jamii ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa , Mirathi , biashara na mafarakano mengine yoyote,
Wanaoshangaa Padre Dkt Kitima wa TEC kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki kwani hakuna jambo la kushangaza hapo.
Hongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo
Ukisoma kitabu kitakatifu Cha mwinjili ya Mathayo 5:9 Yesu mwenyewe amefundisha hivi,
"Heri wapatanishi, Maana hao wataitwa wana wa Mungu"
Au kwa kimombo "Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God"
Nchi ngumu sana hii, Maaskofu wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inakuwa sawa, ila wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu inakuwa nongwa. Hii imekaaje?
Sahihi KabisaNi watu wasioelewa wanaweza mdhambulia kitima
kati ya hao watoto 8, je, wewe binafsi umemzalia watoto wangapi?Padri ameacha watoto 8 mwanza
Swali zuri sanakati ya hao watoto 8, je, wewe binafsi umemzalia watoto wangapi?