PICHA: Kazi ya Padre au Askofu ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa. Wanaoshangaa Dkt Kitima kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki

PICHA: Kazi ya Padre au Askofu ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa. Wanaoshangaa Dkt Kitima kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki

dini inachanganya watu kiasi kwamba mtu akifanya core value za dini watu wanapinga waumini punguzeni wenge na ujinga ila najua kelele zote zinatoka fisiemu ...msilazimishe ujinga wenu uwe wa wote
 
View attachment 3198382

===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.

Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc

Kazi kubwa ya Padre au Askofu Mkatoliki kwa jamii ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa , Mirathi , biashara na mafarakano mengine yoyote,

Wanaoshangaa Padre Dkt Kitima wa TEC kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki kwani hakuna jambo la kushangaza hapo.


Hongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo

Ukisoma kitabu kitakatifu Cha mwinjili ya Mathayo 5:9 Yesu mwenyewe amefundisha hivi,
"Heri wapatanishi, Maana hao wataitwa wana wa Mungu"

Au kwa kimombo "Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God"



Nchi ngumu sana hii, Maaskofu wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inakuwa sawa, ila wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu inakuwa nongwa. Hii imekaaje?
Naam. Hilo ndilo jukumu la kanisa moja , takatifu, katoliki la mitume.

Kanisa limeyafanya hayo karne na karne. Kazi kama hiyo ilikua ikifanywa na Mtakatifu George miaka 333B.K na St. Inyasi wa Loyola wakati wa mageuzi ya Ulaya.
Nasi, tutaendelea kuifanya kazi hio vizazi na vizazi.
#Proud Catholic
 
Naam. Hilo ndilo jukumu la kanisa moja , takatifu, katoliki la mitume.

Kanisa limeyafanya hayo karne na karne. Kazi kama hiyo ilikua ikifanywa na Mtakatifu George miaka 333B.K na St. Inyasi wa Loyola wakati wa mageuzi ya Ulaya.
Nasi, tutaendelea kuifanya kazi hio vizazi na vizazi.
#Proud Catholic
Mauaji ya kimbari Rwanda kanisa Katoliki lilihusika unasemaje kuhusu hilo?
 
Father kanyooka kama rula ndo mana baadhi ya watu hasa watawala hawampendi.
 
Kwahiyo Lissu na Mbowe walipatana au wakina Kitime wameshindwa?
 
View attachment 3198382

===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.

Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc

Kazi kubwa ya Padre au Askofu Mkatoliki kwa jamii ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa , Mirathi , biashara na mafarakano mengine yoyote,

Wanaoshangaa Padre Dkt Kitima wa TEC kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki kwani hakuna jambo la kushangaza hapo.


Hongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo

Ukisoma kitabu kitakatifu Cha mwinjili ya Mathayo 5:9 Yesu mwenyewe amefundisha hivi,
"Heri wapatanishi, Maana hao wataitwa wana wa Mungu"

Au kwa kimombo "Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God"



Nchi ngumu sana hii, Maaskofu wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inakuwa sawa, ila wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu inakuwa nongwa. Hii imekaaje?
Hatakiwi kupatanisha kwa siri bila maboss wake kujua.
 
Mi nimechukizwa sana, nilitaka Tundu Lisu afukuzwe kabisa, kakichafua chama sana, yeye na wahuni wake wasivumiliwe kabisa.

TAL alisema yeye sio muumini wa upatanisho, kakosoa sana maridhiano ya CHADEMA na CCM, na kuyaita maridhiano ya Mbowe na mama Abdul, huyo mtu mnadhani hata aliyowaambia Fr.Kitima yamemwingia?

Kama kweli yamemwingia wamchunge muda wote, maana akiona waandishi wa habari na mic zao huwa anapagawa kabisa anaweza kuongea hata yale ya ndotoni, na hayo maridhiano atayasema yote siku akikutana na waandishi wa habari huwa hana siri, wafuasi wake wanasema ni muwazi sana, eti kanyooka.
 
View attachment 3198382

===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.

Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc

Kazi kubwa ya Padre au Askofu Mkatoliki kwa jamii ni kupatanisha sio katika siasa tu hata kwenye ndoa , Mirathi , biashara na mafarakano mengine yoyote,

Wanaoshangaa Padre Dkt Kitima wa TEC kuwapatanisha CHADEMA hao si wakatoliki kwani hakuna jambo la kushangaza hapo.


Hongera sana Father KITIMA kwa kutafuta amani ndani ya Wakristo wenzako wanaoitwa WanaChadema huko ni kuyaishi maneno ya kristo

Ukisoma kitabu kitakatifu Cha mwinjili ya Mathayo 5:9 Yesu mwenyewe amefundisha hivi,
"Heri wapatanishi, Maana hao wataitwa wana wa Mungu"

Au kwa kimombo "Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God"



Nchi ngumu sana hii, Maaskofu wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inakuwa sawa, ila wakipatanisha kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu inakuwa nongwa. Hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom