bibi harusi huwa anakamata/shika ua,angalia kwenye hiyo picha,aliyeshika ua ni nani?
wote wameshika maua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bibi harusi huwa anakamata/shika ua,angalia kwenye hiyo picha,aliyeshika ua ni nani?
Mnamshambulia kama nyie wasafi wakati kati yenu mnawa,,,,mademu zenu na wengine ndio michezo ya vijana wengi dar arusha moshi morogoro,,,tofauti hapo ipii,,wabongo mmekosa lakufanya umbea tu,,fanyeni kazi na mlee vijana wenu kwa maadili,,,hayo hayawahusu kwaza mnafanya maozo zaidi yao
......... msipotoshe kwa kukwepa ukweli, huyu kijana wa Arusha, maeneo ya Sakina. Anamiliki Bar na huwa panajaa mashoga wengi katika Bar yake. Kama vile kwa Macheni hapo dar enzi zileee !
Dah.![]()
![]()
Rudini Africa tupambane na maisha mbona mnatia aibu hivyo? ni bora kufa ukiwa fukara kuliko aibu hizi!
......... msipotoshe kwa kukwepa ukweli, huyu kijana wa Arusha, maeneo ya Sakina. Anamiliki Bar na huwa panajaa mashoga wengi katika Bar yake. Kama vile kwa Macheni hapo dar enzi zileee !
Machalii wa Arusha wanagawa mzigo Paulo Sergio De Souz