Hii hatari....alafu kaja a mbususu tuu alivyo mjingaKashuka mbezi halafu jamaa hapatikani.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hatari....alafu kaja a mbususu tuu alivyo mjingaKashuka mbezi halafu jamaa hapatikani.....
AI generated imageMbona kama mdori? Michezo ya kuigiza picha movie!
Sa ulitaka aje na nini jamani, abebe magimbi????Hii hatari....alafu kaja a mbususu tuu alivyo mjinga
Awe ata na 20kSa ulitaka aje na nini jamani, abebe magimbi????
Hela ipo kwa jamaa bana....ye anachotakiwa kuileta tuAwe ata na 20k
Jamaaa ndio kaepaaaHela ipo kwa jamaa bana....ye anachotakiwa kuileta tu
kipofu kaona mwezi,bubu kaweza kunenaTangu ujue kutengeneza picha kwa kutumia AI bas imekuwa fujo,tafuta kazi ya kufanya dogo!
Sikupata wasaa wa kumuuliza kwa kuwa nilikuwa ndani ya ndinga kali, isitoshe dereva ambaye ni rafiki yangu hakutaka kusimamisha ndingaSi umulize YY tu
Kwani hujui tabia za wanawake wa zama hizi? Kwenye vipochi manyoya vyao huwa wanabeba jozi kadhaa za viatu vya ziada pamoja na wanja za rangi tofauti tofautiMwanamke au wanawake? Sababu kila picha ina sura na nywele tofauti.
Natumia penseli za mtandaoni mkuuUnatumia nini kuchora
Kwani kachora nani mkuu? Au kachora Maxence Melo?achore nani? Mleta mada? 😂😂😂😂💆
Naunga mkono hoja 👍👏Kashuka mbezi halafu jamaa hapatikani.....
AI made images, haijachorwa na mtu.Jamaa anajua kuchora si mchezo!
Hii ndio kazi yangu mkuu. Huwa nachorea watu mitandaoni wananilipa chochote kitu. Sa hapo sijaelewa nitafute kazi ipiTangu ujue kutengeneza picha kwa kutumia AI bas imekuwa fujo,tafuta kazi ya kufanya dogo!
Ni huyo huyo mmoja mkuu. Sema ni kwa vile kwenye pochi yake kuna make up za kina dizaini. Pia pochi lake halikosi dazeni ya viatuMbona wanawake wanne mkuu,
Au labda nimevuta bangi ya hammas
AI ni niniAI made images, haijachorwa na mtu.