Picha: Kimemkuta nini tena huyu mwanamke?

Na sura tofautitofauti wanabeba pia kwenye pochi?
Mabadiliko ya sura hutegemea aina ya make up wanazotumia. We hujawahi kuokota pisi inafanama na Beyonce jioni, wakati wa mizagamuano ukaona inafanania Rihanna, kesho yake asubuhi ikafanania Bi Chole?
 
Mabadiliko ya sura hutegemea aina ya make up wanazotumia. We hujawahi kuokota pisi inafanama na Beyonce jioni, wakati wa mizagamuano ukaona inafanania Rihanna, kesho yake asubuhi ikafanania Bi Chole?
Unajtetea sana! Picha inautofauti mkubwa tu kusema huyo ni mtu mmoja

Picha nyingine nywele ndefu kuliko picha nyingine.
Chukua ushauri ili kuboresha zaidi na kuongeza umakini.
 
Kuna Picha mbili za AI hapo. Ya Mwafrika na MuAsia, yupi unazungumzia?
 
Unajtetea sana! Picha inautofauti mkubwa tu kusema huyo ni mtu mmoja

Picha nyingine nywele ndefu kuliko picha nyingine.
Chukua ushauri ili kuboresha zaidi na kuongeza umakini.
Haaapaaana! We hujui kuwa mvua ikitandika bichwa la mwanamke mwenye nywele ndefu, nywele zake hutitia kama zilizolambwa na ndama!!?😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…