Bususwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 468
- 1,116
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika alichakugua sehemu sahihi Mungu amlaze mahali pema peponi ameeniAlibadii dini kumfuata mama yake mzazi.
Mbona unaleta udini wee nyangusiHakika alichakugua sehemu sahihi Mungu amlaze mahali pema peponi ameeni
Wapi nimeongelea udini wee kipwitoMbona unaleta udini wee nyangusi
Tarehe ya kuzaliwa na kufa ni tasa, ila mwezi shufwa, mwaka shufwa kwenye matukio yotePicha mbalimbali kuhusu msiba wa Maunda Zorro ambapo watu mbalimbali wamejitokeza kwa ajili ya kumsindikiza Mwimbaji huyu kwenye siku yake hii ya kuzikwa Aprili 16, 2022.
Baba Mzazi wa Mwimbaji Maunda Zorro ameomba kumwimbia mwanae Maunda msibani kama ishara ya kumuaga, Maunda amefariki akiwa na umri wa miaka 36 na ameacha Watoto watatu wa kiume.
Picha: Millard Ayo
AmenApumzike kwa amani Bi. Maunda
Peleka upumbafu ukoTarehe ya kuzaliwa na kufa ni tasa, ila mwezi shufwa, mwaka shufwa kwenye matukio yote
Umevimba pumbu au unavuja ?Peleka upumbafu uko
Amsamehe kivipi?kwani mtu kubadili imani yako/yake ni lazima upate consent ya mzazi?Naamin huyu mzee hakumaanisha hivyo...mana me namuona ni mtu liberal..so altakiwa ategemee vitu kama hivyoNilikuwa na maswali mengi kuhusu hili, nimeona mzee anasema pamoja na kitofautiana imani lakini amemsamehe mwanae
Msamaha wenye tija ni wakati wa uhai si baada ya uhai kutoka.Amsamehe kivipi?kwani mtu kubadili imani yako/yake ni lazima upate consent ya mzazi?Naamin huyu mzee hakumaanisha hivyo...mana me namuona ni mtu liberal..so altakiwa ategemee vitu kama hivyo
Sasa uyo mzee ana imba nini tena
Mzee Ally zoro Anaimba nn sasa leo.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hakika alichakugua sehemu sahihi Mungu amlaze mahali pema peponi ameeni
Kuna clip mumewe anasema maunda ni anglican na alibadili kua mlutheri ili wafunge ndoaAmsamehe kivipi?kwani mtu kubadili imani yako/yake ni lazima upate consent ya mzazi?Naamin huyu mzee hakumaanisha hivyo...mana me namuona ni mtu liberal..so altakiwa ategemee vitu kama hivyo