(Picha) Kuelekea maziko ya Maunda Zorro, matukio ya msibani Kigamboni

(Picha) Kuelekea maziko ya Maunda Zorro, matukio ya msibani Kigamboni

Mbona sijaona wasanii wengi kwenye huo msiba?
Hata Steve Nyerere nae kakosekana?
 
Hakuna picha ya waendesha misa ama maombi ya sala? Au kumuombea marehemu kulifanywa na Mc Pilipili ama Masanja.
 
Nilikuwa na maswali mengi kuhusu hili, nimeona mzee anasema pamoja na kitofautiana imani lakini amemsamehe mwanae
Alibadili din alitaka kufunga ndoa, mwez wa Saba au wa nane.
 
Picha mbalimbali kuhusu msiba wa Maunda Zorro ambapo watu mbalimbali wamejitokeza kwa ajili ya kumsindikiza Mwimbaji huyu kwenye siku yake hii ya kuzikwa Aprili 16, 2022.

Baba Mzazi wa Mwimbaji Maunda Zorro ameomba kumwimbia mwanae Maunda msibani kama ishara ya kumuaga, Maunda amefariki akiwa na umri wa miaka 36 na ameacha Watoto watatu wa kiume.






Picha: Millard Ayo

Alifuata dini ya mama akaacha ya baba, hasara ilioje!
 
Dah....kumbe umri ulikuwa umetembea kidogo....RIP Maunda.....
 
mzee zoro naye 'amepukutika' kweli kweli……...
 
Mi mwenyewe nilikuwa najua Maunda Muislamu.
Alibadili dini siku chache kabla ya kifo chake ili kwenda sawa na imani ya mchumba wake waliopanga kufunga ndoa siku chache zijazo.
 
Back
Top Bottom