Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Lift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.

Picha No. 1: Jamaa anapiga Hodiiii kwenye mlango wa LIFT
Picha No. 2: Lift ikizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya
Picha No. 3: Mkuu wa Wilaya (Mgeni Rasmi) Akikata utepe kuzindua Lift
Picha No. 4: Tangazo la kuwakaribisha wananchi kuja kusuhudia Tukio la uzinduzi wa lift
Source: ISSAMICHUZI BLOG

Huna la maana la kuandika?
Nonsense!
 
Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.

Mbeya kuna matetemeko gani yenye madhara mpk wakataze kujenga ghorofa zaid ya tatu? huko japani matetemeko ya hstari kila siku na bado wana jenga maghorofa yanagusa mawingu.....mbeya bado sana tena sana.....
 
Kilakitu kina mwanzo.gorofa si kigezo cha mji au jiji bali goroda hujengwa kutokana na mahitahi ya sehemu.mbeya maeneo mengi gorofa ndefu ya nn.ni ushamba kuanza kushangaa au kushadadia lift.naamini hata hawa wanaoshabikia lift hawaijui wala hawajawai panda.tatizo ulimbuken haya mambo kawaida sana sion uspecial wake
 
Lift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.

Picha No. 1: Jamaa anapiga Hodiiii kwenye mlango wa LIFT
Picha No. 2: Lift ikizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya
Picha No. 3: Mkuu wa Wilaya (Mgeni Rasmi) Akikata utepe kuzin

dua Lift
Picha No. 4: Tangazo la kuwakaribisha wananchi kuja kusuhudia Tukio la uzinduzi wa lift
Source: ISSAMICHUZI BLOG
baada ya miaka 5 wanafanya aniversary
 
Narudia tena Mbeya ni mji mdogo sana haukustahili kuitwa JIJI. Siasa za kujikuza kwa Wanyakyusa (Prof. & Dr. Mwa........) ndo zililazimisha iwe JIJI MFU.
 
Narudia tena Mbeya ni mji mdogo sana haukustahili kuitwa JIJI. Siasa za kujikuza kwa Wanyakyusa (Prof. & Dr. Mwa........) ndo zililazimisha iwe JIJI MFU.

Mdogo kwa vigezo vipi? Unajua vigezo vya mji kupewa hadhi ya jiji wew, au unapayuka tu hapa utafikiri unaj**ba. Leta vigezo sio kupiga kelele za kipuuzi nyambafu!
 
Bongo kuna escalator nyingi tu...do your home work kabla ya kucomment, Ubungo plaza( Blue Pearl Hotel), Quality Centre Shopping Mall haujaziona huko au unaongelea TZ nyingine mkuu.... Mbeya City inahitaji kijifunza kwa Arusha, wao waliona mapungufu yao na wanayafanyia kazi, kuna satellite city plans mbili kubwa zitakazo badilisha jiji la Arusha ambazo tayari ziko kwenye mchakato wa kutekelezwa. Wakati maeneo ya wazi ya songwe, Uyole, Swaya, Sisitila( Nyuma ya MIST), Izumbwe, Utengule, Iwambi, Shongo yakiachwa bila mipango na wataalam wa kutengeneza satellite city plans wapo majiji kama Arusha na Dar es salaam wanatumia fursa hiyo vuzuri....Ushauri wangu kwa Halmshauri ya Jiji la Mbeya wawatumie wataalam wazalendo wa NHC, Hizi kebehi na dharau tutazizima....
Mbeya kuna fursa ya Kujenga Bandari Kavu ambayo Jiji wanauwezo wa kuichangamkia hiyo wakaboost uchumi wa Mbeya, hakuna sababu ya watu wa Zimbabwe, Zambia, Botswana, Malawi, Congo kwenda mpaka Dar es salaam. Maeneo yapo na uwezo wa jiji ni mkubwa tu hata kukopesheka mnaweza mkiamua......
 
Kaazi kweli kweli Mbeya bado sana jamani kuitwa Jiji. mbona miji mingine midogo tu ina majengo yenye kutumia lift. Halafu tena huko Mkuu wa Wilaya anaenda kuzindua (kukata utepe) lift kweli? duuh yaani huko Wakuu wa Wilaya hawanaga shughuli za kufanya?

Kuna miji Ulaya hadi leo haina jengo lenye lift, maoni yako ni nini kuhusu hilo?
 
Mbeya kuna matetemeko gani yenye madhara mpk wakataze kujenga ghorofa zaid ya tatu? huko japani matetemeko ya hstari kila siku na bado wana jenga maghorofa yanagusa mawingu.....mbeya bado sana tena sana.....

Acha fix wewe
 
Back
Top Bottom