Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mkuu Excel unajua Breaking News Kweli?
LIFT YA KWANZA JIJI LA MWANZA ni katika Jengo la VICTORIA FEDERATION SIKU HIZI LINAITWA JENGO LA NYANZA COPERATIVE NA HIYO ILIKUWA 1957 wakati huo Mwl. anavaa kapula na Paul Bomani anavaa suti na kishatoka maulaya kitambo.
mkuu imezinduliwa jana, aisee nimeshaa!
hivi kwanini mbeya imeitwa jiji wakati bado miundombinu ni mibovu hivi?
wakuu hii habari imenitisha!
hivi jiji la mbeya lilikuwa halina lift kumbe? watu mlikuwa mnapandaje kwenye majengo marefu?
yani mpaka sherehe zimefanyika kuzindua lift ya kwanza katika jiji/mkoa wa mbeya??
hivi hii serikali yetu inaangalia vigezo gani hasa mpaka mkoa kupewa hadhi ya jiji wakati kitu kidogo kama hiki kinakosa katika miundombinu?
![]()
aisee...
afu nasikia Mbeya bila wachagga haiwezekani...
mkuu imezinduliwa jana, aisee nimeshaa!
hivi kwanini mbeya imeitwa jiji wakati bado miundombinu ni mibovu hivi?
Moshi Lift ya kwanza mwaka 1984 Jengo la KNCU
Tanga Lift ya kwanza Jengo la Bandari
hahaha.....hivi na hio mikoa mingine walizindua hizo lift zao ?Yaani kila siku dunia inaleta kituko kipya,yan tangia nzaliwe sjawahi skia lifti inazinduliwa tena na mkuu wa serikali
Hii ni kweli mkuu wala haina ubishi sawasawa na K'njaro kuwa mkoa wa kwanza unaoongoza kwa waliwa 0713 mikoa ya bara ukiachilia mbali tanga,lindi,pwani,dar na mtwara.
Mmh hii ni kashfa kandukamo1, nahic unapenda hii michezo