Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbuka pia bila kufanya hivyo hatuwezi jua maendeleo yaliyofikiwa katika hilo eneo,nahii huleta hamasa ya watu kukumbuka walikotoka atiiii!Hizi mada zinazohusu maeneo au makabila hazina tija kwa Taifa, zaidi tu ya kutaka kuonyesha kabila flani ni bora kuliko makabila mengine wakati ni wizi mtupu!
mkuu au unataka kuwa tomaso nnAisee niambieni kuwa huu ni utani tu na siyokweli, hakiyanani tena!!!!
here is Turkana there is no lift at all! leaving aside places like Nakuru, Eldoret, kakamega :shock:
Unaumwa macho papa mopao! Hotel au jengo la cwt. usikuze mamboHiyo ni unique strategic ya kutangaza hotel, akitangaza kuzinduliwa kwa hotel kila mtu atachukulia simple tu lkn kwa kutangaza kwamba kuzinduliwa kwa lift kila mtu atashtuka kama ilivyotokea sasa, jamaa mwenye jengo kawin hapo, BIG UP MWENYE HOTEL!
Sioni kama inastua hiyo habari any way labda kwa kuwa nimezizoea mpaka 180
evidence of a lift/elevator!Turkana is not a "mkoa", am yet to really fathom this news.... a whole region congregating to launch a lift. And why bring in metropolitan towns like Nakuru, Eldoret, kakamega which already have tall buildings.
Man, you better get your ass off Turkana and go home, there is every need for development if launching of a mere lift can make it to the prime news.