Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

kwi kwi kwii 😀 😀 ..Uzinduzi!!!

Hahaa Daah!! Hapana asee hii noma..Huo muda ameupoteza bure kabisa..Sioni faida ya huo uzinduzi...Nashauri Viongozi ngazi zote wapimwe akili kabla ya kupewa nafasi..
 
Mkuu acha waoengee sanaa wabongo wengi ni vilaza huwa hatupendi kujuwa tatizo nini
Lift valley(bonde la UFA) nahisi wengi hawajui condition

Rift Valley na sio Lift Valley. Rift Valley ( Bonde la ufa)
 
CHAZA acha kupotosha uma kuwa lifti ya kwanza Mwanza ni jengo la NSSF. Unategemea Bugando mtu alokuwa anapanda gorofa ya 9 kwa ngazi?

Achia mbali majengo mengine kama Mwanza Hotel n.k.
 
Last edited by a moderator:
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni

Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk
kwa arusha umechemka! AICC nadhani ingeanza kabla!
 
Mkuu acha waoengee sanaa wabongo wengi ni vilaza huwa hatupendi kujuwa tatizo nini
Lift valley(bonde la UFA) nahisi wengi hawajui condition
djnehe,Je Adis Ababa wamewezaje kjenga majengo marefu wakati wana the same nature ya kimazingira na Mbeya,naomba jibu.

"Mbeya ni Kijiji kikubwa" by Daniel Olenjolay....Kwi kwi kwi kwi....

Upo sahihi kabisa,japo miji mingi ya Tanzania kuna sehemu ambazo hazijapangiliwa ila kwa Mbeya ndo inaongoza kuliko miji yote Tanzania atakaebisha aje atoe ni mji gani zaidi ya Mbeya.

Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.

Kwa hiyo mhandisi wa mkoa na mkuu wa mkoa walipokuwa wanakaribisha wawekezaji wa majengo marefu wakawekeze majengo marefu mbeya walikuwa wanakiuka kanuni na sheria,vip adis wamewezaje?

Mbona hilo lenye lift ya kwanza lina ghorofa saba?

Wana Mbeya wanasema mwisho nne,siku zote nasema mbeya haiwezi linganishwa na Iringa kuanzia uzuri wa mji na mapato ya mkoa.

Mawitule acha kuchezesha maneno eti ooh lift mpaka ghorofa zaidi ya 4 na mbeya ni mji wa matetemeko. sasa jiulize hiyo lift iliyozinduliwa na mkuu wa wilaya si ipo Mbeya? Matetemeko yameisha?
Hawa watu wanausifia huu mkoa hadi nikaingia chaka nikajikuta nimeuchagua kama sehemu ya kufanyia kazi,mara ya kwanza kufika,NILIJUTA MWENYEWE.
Lift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.

Hii dunia inajawa na vituko kila siku,kama hivyo vya jana,na huyo mkuu wa wilaya hajielewi na hata hajitambui....
 
Last edited by a moderator:
djnehe,Je Adis Ababa wamewezaje kjenga majengo marefu wakati wana the same nature ya kimazingira na Mbeya,naomba jibu.



Upo sahihi kabisa,japo miji mingi ya Tanzania kuna sehemu ambazo hazijapangiliwa ila kwa Mbeya ndo inaongoza kuliko miji yote Tanzania atakaebisha aje atoe ni mji gani zaidi ya Mbeya.



Kwa hiyo mhandisi wa mkoa na mkuu wa mkoa walipokuwa wanakaribisha wawekezaji wa majengo marefu wakawekeze majengo marefu mbeya walikuwa wanakiuka kanuni na sheria,vip adis wamewezaje?



Wana Mbeya wanasema mwisho nne,siku zote nasema mbeya haiwezi linganishwa na Iringa kuanzia uzuri wa mji na mapato ya mkoa.


Hawa watu wanausifia huu mkoa hadi nikaingia chaka nikajikuta nimeuchagua kama sehemu ya kufanyia kazi,mara ya kwanza kufika,NILIJUTA MWENYEWE.


Hii dunia inajawa na vituko kila siku,kama hivyo vya jana,na huyo mkuu wa wilaya hajielewi na hata hajitambui....

Tanzania nzima ni kijiji
 
Last edited by a moderator:
Lift ya kwanza Iringa ni katika jengo la hotel ya kalenga west park i, sasa hivi lift ni za kumwaga
 
Tanzania nzima ni kijiji
Mbeya imezidi kwa kweli ikifuatiwa na Dar,ila kijografia Mbeya ingepangiliwa vizuri ingependeza sana ila ndo mbaya na vumbi hili ndo unaondoa kila kitu.Mbeya hakuna hata sehem ukifika kwamba utavutika napo kama ilivyo Dar,Arusha,Kilimanjaro,Tanga,Mwanza Dom na Hata Iringa.
 
Kwa mwanza umebugi mkuu, Lift ya kwanza ni bugando hospital tena toka miaka ya giza

Mkuu lift ya kwanza ni ncu,pamba hostel,ikaja bugando 1977 na ccm mkoa nayo itakua miaka ya sabini kwa hiyo mwanza ziko kitambo sana
 
Mkuu acha waoengee sanaa wabongo wengi ni vilaza huwa hatupendi kujuwa tatizo nini
Lift valley(bonde la UFA) nahisi wengi hawajui condition
Hapo uko sahihi...
Sio wengi sema wote...Hiyo RED imenibadilishia kila kitu, hebu nitafute conditions za LIFT VALEY.....
 
Jengo la kwanza kuwa na lift Arusha lilijuwepo kabla hujazaliwa, AICC ina umri mkubwa kuliko wewe,na si kweli kuwa naura spring ndito ya kwanza bali ya mwisho mwisho kwani hoteli kama Impala zilikuwepi long before hiyo naura, wacha uongo

Jengo la acu lift yke itakua na miaka zaidi ya 40 then aicc imejengwa kati ya 1973 au 74
 
Shinyanga Lift ya kwanza mwaka 1984 jengo la SHIRECU (Shinyanga Region Cooperative Union).
 
Kweli Tanzania ni nchi inayoendelea...yaani uzinduzi wa services kwenye jengo inakuwa tukio la kukusanya watu? Miaka hii?
 
Back
Top Bottom