kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Watoto waliozaliwa Mbeya leo wote wameitwa MWAKALIFT
aisee...
afu nasikia Mbeya bila wachagga haiwezekani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto waliozaliwa Mbeya leo wote wameitwa MWAKALIFT
Mbeya kiroho safi haikupaswa kuwa hata MJI labda ingekuwa tu HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA
aisee...
afu nasikia Mbeya bila wachagga haiwezekani...
Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni
Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk
Watoto waliozaliwa Mbeya leo wote wameitwa MWAKALIFT
aisee...
afu nasikia Mbeya bila wachagga haiwezekani...
Mkuu acha waoengee sanaa wabongo wengi ni vilaza huwa hatupendi kujuwa tatizo nini
Lift valley(bonde la UFA) nahisi wengi hawajui condition
Moshi ni mji mzuri zaidi ya Mbeya mara 100...