M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
duuh ndugu zetu wa Mbeya leo ndo leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi Lift ya kwanza mwaka 1984 Jengo la KNCU
Tanga Lift ya kwanza Jengo la Bandari
Jengo la pili Bugando Hospital.LIFT YA KWANZA JIJI LA MWANZA ni katika Jengo la VICTORIA FEDERATION SIKU HIZI LINAITWA JENGO LA NYANZA COPERATIVE NA HIYO ILIKUWA 1957 wakati huo Mwl. anavaa kapula na Paul Bomani anavaa suti na kishatoka maulaya kitambo.
Washapiga pesa hapo wanajifanya kuzindua haya
Lift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.
Picha No. 1: Jamaa anapiga Hodiiii kwenye mlango wa LIFT
Picha No. 2: Lift ikizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya
Picha No. 3: Mkuu wa Wilaya (Mgeni Rasmi) Akikata utepe kuzindua Lift
Picha No. 4: Tangazo la kuwakaribisha wananchi kuja kusuhudia Tukio la uzinduzi wa lift
Source: ISSAMICHUZI BLOG
Leo Mbeya nzima sherehe tupu kila kona.
duuuuh majanga.....kuna mshkaji nilisoma nae mlimani 5yrs ago kwa jinsi alivokua anaisifia ki ukweli siez amini kwamba mbeya hawajawahi kuwa hata na gorofa ynye lifti kusaidia japo walemavu....
Tukisema Mbeya Bado sana mnadai tuna wivu na Mbeya yenu ona sasa. yaani leo ndo lift ya kwanza toka kuumbwa kwa Ulimwengu
Jengo ni la Chama cha Walimu! hela imepigwa wapi Jombaa?
Aibu kwa kweli akina Atombile mwakitako mmetoa povu leo! Nyie bado xana
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni
Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk
Arusha lift zipo aicc,nsff,lapf,impala,tra,naura,nbc sokoni, aq,palace hotel,premier ht,hugo plaza,natron ht,mc elys ht,NK