Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Actually naipongeza sana serikali ya ccm kwa hili, hakika wametimiza moja ya sera zao muhimu sana, eboo!? Mkuu wa wilaya hana kazi ati anaenda kufanya uzinduzi wa lift.... Du!? Kweli hii noma......
 
Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.

wewe umenikumbusha mbali sana. mwaka nadhani ulikuwa 1965 ule nilikuwa nimetumwa mahali. nadhani ilikuwa kupeleka taarifa fulani kwa jirani mmoja aliyeishi kuvuka vijito viwili. ilikuwa kama saa 4 hivi asubuhi nikawa nimefika kwenye kijito cha kwanza niko peke yangu. kumbuka sasa wakati huo mimi ni kabinadamu kadogo hivi labda futi 3 na pointi kadhaa hivi. basi lilikuja tetemeko kubwa sijaona tetemeko jingine kama hilo tangu siku ile. mto ulikuwa unatetemeka, majani marefu kule kwetu tunaita belebele (hiyo b siyo b unayoijua wewe; ni tamshi kati ya b na v) yakiyumba kushoto na kulia kwa kasi. nilidhani dunia itapasuka siku ile. na wala sikujua kama ningerudi salama nyumbani. bahati nzuri ilikuwa ni kijijini nyumba ndefu za matofali hakuna wakati ule. nyumba ndefu zenye uzito zingekuwepo zingeanguka.

Mkuu acha waoengee sanaa wabongo wengi ni vilaza huwa hatupendi kujuwa tatizo nini
Lift valley(bonde la UFA) nahisi wengi hawajui condition

mkuu point of correction!! ni Rift Valley siyo Lift Valley

ha ha ha ha....
 
reference..
mwaikimba.. mapunda na mwaipopo wacha ambao hawajulikani..
kwa hiyo mbeya ni wana sport hatuhitaji lift.. hata ghorofa 20 tunapanda kwa kukimbia.. lift ni kwa WAZEMBE!
 
Inamaana hata kiberenge walikuwa hawana jamani? ??
 
aisee...
afu nasikia Mbeya bila wachagga haiwezekani...

Wew mat*** kweli wew, unaleta ukabila wako huku. Nenda huko huko banyamulenge wewe. Kwa taarifa yako mby haijatawaliwa na wachaga na hawaiwezi huu mziki mwingine
 
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni

Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk

acha kudanganya watu kama hujui stastics kaa kimya, au uliza utasaidiwa, mwanza lift zimekuwepo kwa zaidi ya miaka 40, majengo aliyokuwa na lift kipindi hicho, ni jengo la ccm ambalo lift yake nafikiri ilishaharibika, lingine ni bugando, vipi wewe unasema jengo la NSSF ndio la kwanza?
 
Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.

msisingizie matetemeko, ghorofa lolote ambalo lipo kwa matumizi ya kijamii kama ofisi n,k lazima liwe na lift kwa ajili ya walemavu, ndivyo sheria za majengo zilivyo, hili jambo la kuzindua lift ni aibu, bukoba walipata jengo lenye lift miaka kadhaa iliyopita lakini hawakufanya upuuzi huu.
 
Lift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.

Picha No. 1: Jamaa anapiga Hodiiii kwenye mlango wa LIFT
Picha No. 2: Lift ikizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya
Picha No. 3: Mkuu wa Wilaya (Mgeni Rasmi) Akikata utepe kuzindua Lift
Picha No. 4: Tangazo la kuwakaribisha wananchi kuja kusuhudia Tukio la uzinduzi wa lift
Source: ISSAMICHUZI BLOG
Bado kweli tupo nyuma kimaendeleo itachukuwa miaka 50 ijayo na sisi tuwe na Maendeleo kazi kweli ipo jamani.
 
Lift ya kwanza ilipatikana lini?

unauliza lift ya kwanza Moshi acheni hizo unaijua hospital ya KCMC iilijengwa miaka ya sitini na kunalift ndani nakumbuka kuna hotel ina KNCU oppsite na round about yulikuwa tukitoka church na mzee Tunaendakula pale ilikuwa na lift back in the fifties
 
Mbeya iondolewe hadhi ya kuwa Jiji mara moja..

Huu ni udhalilishaji wa majiji..

Hata Pwagu anakuzidi kete. Joti ndo kakuzidi kabisaaaaa. Labda Jangala unakaribiana naye. Wewe akili yako inajua kwamba kigezo cha mji kuwa jiji ni idadi ya kuwapo kwa lift? Ama kweli mburura zipo nyingi njomba. Hapo unamdhalilisha aliyechagua miji ya kuiita majiji. Lol!:A S angel:
:A S angel:
 
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni

Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk

Jengo la kwanza kuwa na lift Arusha lilijuwepo kabla hujazaliwa, AICC ina umri mkubwa kuliko wewe,na si kweli kuwa naura spring ndito ya kwanza bali ya mwisho mwisho kwani hoteli kama Impala zilikuwepi long before hiyo naura, wacha uongo
 
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni

Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk

nakusahisha kidogo kuhusu arusha mkuu. jengo la AICC ni la zamani sana. sina uhakika lini lakini tayari yalikua na lifti and im sure AICC imejengwa kabla ya naura spring. pia jengo la ushirika sikumbuki jina lake, lenye ofisi za banka of africa na riverside shuttle, lipo just after metropo ukiwa unaelekea clock tower on your left side. ni la zamani na lina lifti pia.
 
acha kudanganya watu kama hujui stastics kaa kimya, au uliza utasaidiwa, mwanza lift zimekuwepo kwa zaidi ya miaka 40, majengo aliyokuwa na lift kipindi hicho, ni jengo la ccm ambalo lift yake nafikiri ilishaharibika, lingine ni bugando, vipi wewe unasema jengo la NSSF ndio la kwanza?

Safi,nilitaka kumjibu hiki hiki kuhusu mwanza,
 
Back
Top Bottom