Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

Sioni kama inastua hiyo habari any way labda kwa kuwa nimezizoea mpaka 180
Hii habari isingetangazwa wala usingejua kama Mbeya kuna lift inazinduliwa, hapo tayari umeingia kwenye mkumbo wa mshangao ndugu yangu ha ha ha ha
 
Mbeya kuna matetemeko gani yenye madhara mpk wakataze kujenga ghorofa zaid ya tatu? huko japani matetemeko ya hstari kila siku na bado wana jenga maghorofa yanagusa mawingu.....mbeya bado sana tena sana.....

Ila kweli maana hata shinyanga ipo lift ya shirecu
 
Tarehe 10/06/2014 ilizinduliwa iliyosemekana kwamba ni 'lift ya kwanza mkoani Mbeya'. Kwangu mimi, sina maslahi yoyote katika majengo ya mkoani Mbeya, ila napenda kukanusha kwamba ile ya tarehe 10 June 2014 ilikuwa ni lift ya kwanza mkoani humo. Niliwahi kufanya field (Practical/Industrial Training) katika kiwanda cha Mbeya Cement mwaka 1998, na nikiwa mwanafunzi wa FTC kutoka katika moja ya vyuo makini nchini, nilishiriki katika matengenezo ya lift iliyopo kiwandani hapo. Nilikuwa upande wa ufundi wa umeme na principles of operaration za lift kwa upande wa umeme nilizijulia pale kwani sikuwahi kutengeneza relays za lift kabla. Kiwanda hicho kipo eneo la Songwe, mkoani Mbeya.

Nachukua nafasi hii kukanusha kwamba ile iliyozinduliwa tarehe 10/06/2014 ilikuwa ni lift ya kwanza mkoani Mbeya, labda wangesema jijini Mbeya (kiutawala, kiwanda kipo Mbeya Vijijini).


attachment.php
 
Jabulan ulisoma FTC chuo gani hicho makini? Anyway nimemaliza FTC Technical college Arusha in 1990. Hongera kwa kutujuza.
 
Tarehe 10/06/2014 ilizinduliwa iliyosemekana kwamba ni 'lift ya kwanza mkoani Mbeya'. Kwangu mimi, sina maslahi yoyote katika majengo ya mkoani Mbeya, ila napenda kukanusha kwamba ile ya tarehe 10 June 2014 ilikuwa ni lift ya kwanza mkoani humo. Niliwahi kufanya field (Practical/Industrial Training) katika kiwanda cha Mbeya Cement mwaka 1998, na nikiwa mwanafunzi wa FTC kutoka katika moja ya vyuo makini nchini, nilishiriki katika matengenezo ya lift iliyopo kiwandani hapo. Nilikuwa upande wa ufundi wa umeme na principles of operaration za lift kwa upande wa umeme nilizijulia pale kwani sikuwahi kutengeneza relays za lift kabla. Kiwanda hicho kipo eneo la Songwe, mkoani Mbeya.

Nachukua nafasi hii kukanusha kwamba ile iliyozinduliwa tarehe 10/06/2014 ilikuwa ni lift ya kwanza mkoani Mbeya, labda wangesema jijini Mbeya (kiutawala, kiwanda kipo Mbeya Vijijini).


attachment.php

ulikuwa wapi siku zote kukanusha? umesubiri tumeshaamini na kusahau ndo unafunguka, hiyo lift yako kaa nayo
 
ulikuwa wapi siku zote kukanusha? umesubiri tumeshaamini na kusahau ndo unafunguka, hiyo lift yako kaa nayo
Mkuu, nilikuwa nimepitiwa tu, hata mimi nilichangia katika uzi ule na nilishangaa Mbeya kutokuwa na lift. Nimekuja kukumbuka baadaye kuwa niliparticipate kutengeneza lift ya Songwe nikiwa mwanafunzi, na hata yule Engineer wa ile kampuni iliyopewa kandarasi ya kukarabati lift alitoka Dar, hakuwa Engineer wa kiwandani.
 
Jabulan ulisoma FTC chuo gani hicho makini? Anyway nimemaliza FTC Technical college Arusha in 1990. Hongera kwa kutujuza.
Mbeya Technical College enzi hizo, sasa hivi kimebadili jina kuwa MUST
 
hiyo `lift' ya kiwandani ni kama pulley system mkuu Jabulani!

utetezi mzuri ni kuwa Mbeya iko kwenye bonde la ufa ardhi hairuhusu ujenzi wa maghorofa na hili liko wazi, mwisho ni kama ghorofa 3
 
Last edited by a moderator:
hiyo `lift' ya kiwandani ni kama pulley system mkuu Jabulani!

utetezi mzuri ni kuwa Mbeya iko kwenye bonde la ufa ardhi hairuhusu ujenzi wa maghorofa na hili liko wazi, mwisho ni kama ghorofa 3
Okay, kama pulley systems zinapeleka watu na mizigo vertically wakiwa ndani ya rectangular cube, tena with a controlled manner, kwamba ukitaka kuishia floor one, or two, or three etc you can just push the particular button, hiyo itaitwaje zaidi ya 'lift'?
 
Mbeya karibu wanatimiza mwaka mmoja sasa toka kuzinduliwa LIFT ya kwanza mkoani humo. HONGERENI wanambeya
 
Back
Top Bottom