Yapo bhana ka Saba hivi 😂😂😂😂😂 ngoja nikutajie, NHIF tower ina ghorofa 12 na ndo ya Kwanza saiz kwa urefu,, tughimbe loyal hotel nyota nne ipo mafiati,,Kuna maranatha ipo mwanjelwa ghorofa 7,, Kuna NHC Ipo cbd, ghorofa 5, pia palepale mkbala na nhc kuna shop center ina floo 4 ina lift 😂😂😂 na kuna mengine kibao yanajengwa, kabwe lipo moja 8 floo,, soweto mkulu hotel floo 5,. Mama John kuna hotel 5 floo ishakamilika,. Mzumbe kuna hotel five floo,k's 7 floo, meta 6 floo,, mbeya region ofice five floo,,,kuna hotel ipo karibu na hospital ya mkoa five star na bado ambazo niliiacha zipo kwenye process hayo yote ni ya lift boss 😂😂😂 na ni ya kisasa kbsa ni four years tuu so karibu mbeya tena mkulu