🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukilala bila kuoga ni wewe umependa au baridi maana airport kuna baridi htr,,Pia maeneo flani hv ya airport ✈️ niliwahi kuishi, ety unachota maji kwa mwezi mzima kwa bill ya 3k 😂😂😂 geto tulikuwa watu sita wanaume wa3 chumba chetu na wanawake wa3 chumba chao yn ilikuwa balaa tunachota maji ht ndoo 10 kwa siku.
Yn yale maji ya mwisho ya kusuuzia nguo unaweza ht kupikia msosi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukilala bila kuoga ni wewe umependa au baridi maana airport kuna baridi htr,,
Na chuo cha Mzumbe nao wana jengo lao lina floor 3 lina lift😂😂😂 Hili alizindua Magufuli mwenyew mwezi wa 5 Tarehe 1 2019 😂😂😂Yapo bhana ka Saba hivi 😂😂😂😂😂 ngoja nikutajie, NHIF tower ina ghorofa 12 na ndo ya Kwanza saiz kwa urefu,, tughimbe loyal hotel nyota nne ipo mafiati,,Kuna maranatha ipo mwanjelwa ghorofa 7,, Kuna NHC Ipo cbd, ghorofa 5, pia palepale mkbala na nhc kuna shop center ina floo 4 ina lift 😂😂😂 na kuna mengine kibao yanajengwa, kabwe lipo moja 8 floo,, soweto mkulu hotel floo 5,. Mama John kuna hotel 5 floo ishakamilika,. Mzumbe kuna hotel five floo,k's 7 floo, meta 6 floo,, mbeya region ofice five floo,,,kuna hotel ipo karibu na hospital ya mkoa five star na bado ambazo niliiacha zipo kwenye process hayo yote ni ya lift boss 😂😂😂 na ni ya kisasa kbsa ni four years tuu so karibu mbeya tena mkulu
Jengo gani hilo lenye lift?Tanga lift Tangia enzi. Za Germany
Na chuo cha Mzumbe nao wana jengo lao lina floor 3 lina lift😂😂😂 Hili alizindua Magufuli mwenyew mwezi wa 5 Tarehe 1 2019 😂😂😂
K’s hospitali nao wana moja inamaliziwa soon, Ila Mbeya imechachamaa saiv😂😂😂😂😂
Lift ambazo zipo mbeya hazifanyi kazi kuna ile ya Maranatha pale kuna mda wanazuia kutumia. Kuna siku nilienda pale nikapanda kwa mguu aisee arifu ni hatarWao waache waendelee kupiga porojo, wakustuka kumekucha na ndo wanavuta shuka 😀😀😀😀😀😀
Mbeya moja ya majiji yenye gharama nafuu ya maisha📌Lift ambazo zipo mbeya hazifanyi kazi kuna ile ya Maranatha pale kuna mda wanazuia kutumia. Kuna siku nilienda pale nikapanda kwa mguu aisee arifu ni hatar
Nyingin ni ya K’s hospitali kwa sabab pale wanajenga ghorofa nyngn ambalo nahis litashabiiana na Maranatha
Ila mbeya kuna uzur wake lkn ubaya wa mbeya ni the way mji ulivojipanga😬😬😬
Kabisa. Ukiwa na buku siku imeisha hyoMbeya moja ya majiji yenye gharama nafuu ya maisha📌
Ni kweli mji haukuwekwa kwenye mipango miji kwa sababu maeneo yaliyojengwa kiholela yalijengwa tangu kitambo Sana lkn mitaa inayondelea saiz imepangwa vizuri,, na mpango was kulipanga upya jiji upo tangu mwaka juzi ko upo kwenye michakato,,nazani ikianza kujengwa hiyo barabara ndo wataunganisha kwa hiyo ni swala la mda tuu lkn mipango miji kwa hapo mbeya wazembe Sana Yani mpka kero sijui kwa nn,,,Lift ambazo zipo mbeya hazifanyi kazi kuna ile ya Maranatha pale kuna mda wanazuia kutumia. Kuna siku nilienda pale nikapanda kwa mguu aisee arifu ni hatar
Nyingin ni ya K’s hospitali kwa sabab pale wanajenga ghorofa nyngn ambalo nahis litashabiiana na Maranatha
Ila mbeya kuna uzur wake lkn ubaya wa mbeya ni the way mji ulivojipanga😬😬😬
Huu ni ushamba. Lift haijengwi kama bembea ya kuchezea watoto bali kwa mahitajio maalumu.Tukisema Mbeya Bado sana mnadai tuna wivu na Mbeya yenu ona sasa. yaani leo ndo lift ya kwanza toka kuumbwa kwa Ulimwengu
Lakini Moshi imeshindwa kuwa jiji hadi leo.Moshi ni mji mzuri zaidi ya Mbeya mara 100...
Nilishangaa siku mnyakyusa anamwambi Msukuma kua mshambaLift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.
Picha No. 1: Jamaa anapiga Hodiiii kwenye mlango wa LIFT
Picha No. 2: Lift ikizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya
Picha No. 3: Mkuu wa Wilaya (Mgeni Rasmi) Akikata utepe kuzindua Lift
Picha No. 4: Tangazo la kuwakaribisha wananchi kuja kusuhudia Tukio la uzinduzi wa lift
Source: ISSAMICHUZI BLOG
Inamaanisha wilaya iwe jiji harafu mkoa wake ubaki hivyo tuLakini Moshi imeshindwa kuwa jiji hadi leo.
Kama unaelewa unachokiongea utajifunza na kuondoa ushamba kichwani mwako.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Vigezo vya mji kuwa jiji ni lift!?Kaazi kweli kweli Mbeya bado sana jamani kuitwa Jiji. mbona miji mingine midogo tu ina majengo yenye kutumia lift. Halafu tena huko Mkuu wa Wilaya anaenda kuzindua (kukata utepe) lift kweli? duuh yaani huko Wakuu wa Wilaya hawanaga shughuli za kufanya?
magorofa yenyewe ya kuweka lift yapo???!!!!
Moshi ndio mji mkuu wa Kilimanjaro.Inamaanisha wilaya iwe jiji harafu mkoa wake ubaki hivyo tu
Point yangu ni moshi ndo iwe jiji harafu Kilimanjaro ibaki kua mkoa.Moshi ndio mji mkuu wa Kilimanjaro.
Bado huelewi?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwasababu ya lift?Nilishangaa siku mnyakyusa anamwambi Msukuma kua mshamba
Bado hatujapata mkoa ambao umekuwa jiji ambapo makao makuu yake yana jina tofauti.Point yangu ni moshi ndo iwe jiji harafu Kilimanjaro ibaki kua mkoa.
Bora sema Kilimanjaro iwe jiji then moshi yawe makao makuu ya jiji•
Nop sio hivyo mkuu, mfano mbeya ni jiji ila wilaya zingine mkoa wa mbeya haziko kwenye mipaka ya Jiji,Point yangu ni moshi ndo iwe jiji harafu Kilimanjaro ibaki kua mkoa.
Bora sema Kilimanjaro iwe jiji then moshi yawe makao makuu ya jiji•