Ya mwaka gani hii mkuu? Niitafute?wakati unaisubiri "what men think" tafuta kwanza "what women think".
Sawa mkuu ngoja niichukueIpo vizuri sana hiyo movie, kisa chake wamekipangilia poa sana.
the night come for us ni movie kali wanachinjana htr xnaaaa hii kituSijaechek aisee...
Uliiangalia "The night come for us" na "paradox?"
Paradox, tony alicheza kama special appearance ila alifanya kazi ya maana sana... While TNCUS- Iko aliwakilisha uzuri japo hakupewa uwanja sana wa kufanya vitu vyake....
Idea yao hio movie kukusanya star wote hao ni kucounter idea ya expendables na ndio maana kulitokea figusi flan, picha likacheleweshwa na s unajua hollywood wanajikuta wababe wa mchezo... But all in all Iko anakimbiza sana kipande cha Thailand na Asia kwa ujumla ila hatuwez kuwasahau akina Tony na wenzie as wana ladha adimu kabisa kwenye tasnia hii ya kipondo[emoji1491]
Sent using Jamii Forums mobile app
kuanzia 2005 kurudi nyuma huko but ni nzuri. Mel gibson kacheza humo, playboy aliyepata uwezo kusikia mawazo ya wanawake!.Ya mwaka gani hii mkuu? Niitafute?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Mamaa nikisema mm ni muvi eater elewa... ukiniacha na hela utazikuta salama ila ukiniacha na muvi HeheeeWewe zote hizi umeangalia?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo Mimi nimeangalia IP Man tuu. Tena sijui zipo hadi 3 sikumbuki vizuri.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ndio hiyo hiyo kuna namba mbili yake ndio kali saidi tenaRaid of redemption ni ile Inaanza jamaa anaswali?
Halafu wanaenda kumwokoa jamaa mmoja kwa wale wauza madawa? Baada ya kuwaangamiza yule jamaa anabaki kule kule ( anagoma kuondoka) kwa sababu alishapazoea?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ni kweli mkuu. .Sijaechek aisee...
Uliiangalia "The night come for us" na "paradox?"
Paradox, tony alicheza kama special appearance ila alifanya kazi ya maana sana... While TNCUS- Iko aliwakilisha uzuri japo hakupewa uwanja sana wa kufanya vitu vyake....
Idea yao hio movie kukusanya star wote hao ni kucounter idea ya expendables na ndio maana kulitokea figusi flan, picha likacheleweshwa na s unajua hollywood wanajikuta wababe wa mchezo... But all in all Iko anakimbiza sana kipande cha Thailand na Asia kwa ujumla ila hatuwez kuwasahau akina Tony na wenzie as wana ladha adimu kabisa kwenye tasnia hii ya kipondo[emoji1491]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap anaogofyaa aseee.... hayupo kimapenzi kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanamfanya azidi kuogofya sana.... Ila ni perfect hit man, ukitoa agent 47[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko kipande nakielewa sana kuna mkono palee hatariiiIko yupo unique kwenye free zone, akikuta na panga ndio analokuuwa nalo... Chek scene zake za Raid2.... Kitchen scene na ile anapigana na yule lady hammer.... But still kuna watembeza mkono wa maana hapo Thai, Hong KoKong, Indonesia na Bangladesh...
Sent using Jamii Forums mobile app
Simjui huyu aseee... ila huyu wa vajra ukicheki mkono aliotoa pale wanataka kumchoma moto yule mama kwenye kung fu hustle nampa salute.. walitembeza kifinyo ataree akiwa ns wale wazee wawiliPia kuna huyu mhuni wakuitwa Mad Dog.... Ukimpa uwanja hana ajizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaitwa Triple threat ni shida sana...
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
cover ya john wick please da viNdio hiyo hiyo kuna namba mbili yake ndio kali saidi tena
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mi nataka nione hiyo Level Excommunicado ikoje.John wick ndio naisubirii...huyo fala hafaiii
Mara hii labda watauwa paka wake hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app