Picha Live: Msiochoka kumsema Makonda haya huyu hapa

Picha Live: Msiochoka kumsema Makonda haya huyu hapa

Mkuu, kuna namna mtu akifanya anakua bora kuliko jana katika muktadha wa utu (siyo uchumi, utu) mojawapo ni namna ya kujua kuwasiliana na wanaomzunguka.

Mfano: Wewe waweza kua una akili kunizidi na mimi ninajua kua umenizidi akili lakini ikatokea siku ukaniambia "Castr nimekuzidi akili" ujue wazi sitafurahia hiyo kauli ingawa ni kweli na ninajua kua ni kweli.
Watu wengi wenye madaraka wanakwama hapo, kuanzia baba mwenye nyumba, bosi ofisini, kaka yako, wabunge, mawaziri n.k.

Na hapo tu kwenye communication ndiyo kumesababisha watu waone sawa Mwakyembe kutemwa "Nina degree nne siwezi kusikiliza ushauri wa la saba" na Makonda (Ana kauli nyingi ambazo alilenga zidisplay ni namna gani hayupo level moja na anaowaongoza/ anaowatawala.

Mkapa amefariki atakumbukwa kwa mengi umeona jingine ambalo watu wanamkumbuka nalo? Neno malofa na wapumbavu. Na hili alitamka mwanadiplomasia.

Hivyo wewe hapa utaweza hisi anachukiwa kisa nyota, kisa madawa, kisa akili n.k. lakini mzizi upo hapo. Amina Chifupa alipigania drugs pia uliwahi sikia anachukiwa?

Anyway usiku mwema.
🤔
 
Makonda Kijana Mzalendo Wa Taifa letu.....
Tunakukumbuka Sana kwa kuwa ICON wetu sisi vijana hasa wa CCM......
Tunakukumbuka Sana kwa KUPAMBANA KWAKO na Vita dhidi ya MADAWA YA KULEVYA.....
Makonda umetupunguzia VIJANA WANAOBEMBEA NA BWIMBWI HADHARANI......

Nikiwa Kama MUISLAM...hakika SITOKUJA KUKUSAHAU ulivyotupigania tuwe na MSIKITI MKUBWA NA BORA KULIKO YOTE TANZANIA.....
Waislam HATUTOKUSAHAU kwa sababu OFISI ZETU ZA BAKWATA hazikuwa na UBORA wenye KUSTAHILI.....
Makonda hilo hapo JUU SI DOGO......
Makonda Hilo la kutufanyia HISANI waislam hususani wa DAR si jepesi hata kidogo.....
Nitaendelea KUKUOMBEA DUA kila uchao,aaaamin.

Makonda your too zeal,patriotic and perseverant,I wish you the best in achieving your political goals aaaaamen aaaaamen.

Kila Mtu Ana Ndoto Zake.
Makonda Nae Ana Ndoto Zake.

Jumbe Brown,
Kijana Muuza Al Kasus
Kijiweni Tandale Kwa Mtogole
Vipi Makonda nae anatumia alikasusu?
 
Mkuu acha ARGUMENTUM AD HOMINEM basi...
Mimi si mfanyakazi wake Ila KUHUSU kunufaika...ni kweli nimenufaika naye mfano kuhusu ule MSIKITI wetu pale makao makuu ya sisi wafuasi wa BAKWATA.

Nimenufaika na kutupunguzia ADHA ya vijana wenzetu wanaoyumba na kubembea kwa stimu za ngada hususani huku uswahilini kwetu Tandale Kwa Mtogole pale kituoni(chini ya transfoma).
Ila kuhusu kuninufaisha SELFISHLY hapana wallahi hapana....
Kwani binafsi kipindi niko chuo kikuu NILIKUWA ni mfuasi wa mzee Lowassa...Hemed Ally wa BAVICHA anajua.....japo sikuhamia CDM(ulipo tupo).
Nilikuwa mfuasi kindakindaki wa mzee Laigwanan Edo,Said Sambala,Salum Salehe,Mh.Bashe anajua....

Makonda ANAJULIKANA misimamo yake toka kipindi kile Cha mitume 12 wa CCM wakiongozwa na marehemu mzee Shelukindo(rip)...
Makonda anajulikana UKARIBU wake na marehemu mzee S.Sitta(rip) pamoja na mh.Dr H.Mwakyembe....so hatujawahi KUIVA KISIASA KATIKA CHUNGU KIMOJA ila tu sikuwahi kumpinga nje ya MISIMAMO YAKE MENGINE YA CCM NA NCHI ukitoa Yale MAKUNDI HASIMU YA SIASA ZA WAZEE WETU.........
Sijawahi kuwa karibu na Makonda.....so don't take it as if am putting a shield against his political rivalry.

Ndimi Kijana Muuza Al Kasus.
Tandale Kwa Mtogole

Jumbe. ...it's too late.

Point of no return.

...things will never be the same again.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiih lol
 
Bakwata si waislam halisi ujue hiyo ni taasisi ya lumumba
Makonda Kijana Mzalendo Wa Taifa letu.....
Tunakukumbuka Sana kwa kuwa ICON wetu sisi vijana hasa wa CCM......
Tunakukumbuka Sana kwa KUPAMBANA KWAKO na Vita dhidi ya MADAWA YA KULEVYA.....
Makonda umetupunguzia VIJANA WANAOBEMBEA NA BWIMBWI HADHARANI......

Nikiwa Kama MUISLAM...hakika SITOKUJA KUKUSAHAU ulivyotupigania tuwe na MSIKITI MKUBWA NA BORA KULIKO YOTE TANZANIA.....
Waislam HATUTOKUSAHAU kwa sababu OFISI ZETU ZA BAKWATA hazikuwa na UBORA wenye KUSTAHILI.....
Makonda hilo hapo JUU SI DOGO......
Makonda Hilo la kutufanyia HISANI waislam hususani wa DAR si jepesi hata kidogo.....
Nitaendelea KUKUOMBEA DUA kila uchao,aaaamin.

Makonda your too zeal,patriotic and perseverant,I wish you the best in achieving your political goals aaaaamen aaaaamen.

Kila Mtu Ana Ndoto Zake.
Makonda Nae Ana Ndoto Zake.

Jumbe Brown,
Kijana Muuza Al Kasus
Kijiweni Tandale Kwa Mtogole
 
Bakwata si waislam halisi ujue hiyo ni taasisi ya lumumba
Ni Bora Kwa Muungwana Ukauficha Ujinga Mkuu Wangu.

Wewe Una Kipimo Cha Kuupima Uislam Sahihi?!!!

Looh Kweli kuishi kwingi kuona mengi........

Msijiongelee tu kama watoto....Yaani kwa kinywa kipana unasema UISLAM SAHIHI unapimwa na TAASISI ZA WAISLAM......

Yaani Hizi Taasisi Za Kiislam Tulizonazo Tanzania,Kuna MOJA ama zaidi ya MOJA ndizo zinazoubeba UISLAM SAHIHI........duuh

Mkuu wangu nakushauri tena uendelee kuwa na hamu na ghamu ya kujifunza,Kwani bado UNATATIZIKA na hwenda UNATATIZWA na wapotoshaji juu ya Hayo Mambo.

Kajifunze kitu kinachoitwa POLITICAL ISLAM.....humo ndimo wapotoshaji wanaoipinga BAKWATA wamejaa na kughurika kupita kiasi.


Kijana Muuza Al Kasus
Tandale Kwa Mtogole
 
Nikutoe tongotongo tu mkuu, CCM ina misikiti na makanisa yake hilo limekuwepo tangu enzi ya Nyerere.

Kama hauamini basi baki hivyo hivyo ila usieneze uongo kuwa Makonda aliwapenda waislam kisa kachangia bakwata
Ni Bora Kwa Muungwana Ukauficha Ujinga Mkuu Wangu.

Wewe Una Kipimo Cha Kuupima Uislam Sahihi?!!!

Looh Kweli kuishi kwingi kuona mengi........

Msijiongelee tu kama watoto....Yaani kwa kinywa kipana unasema UISLAM SAHIHI unapimwa na TAASISI ZA WAISLAM......

Yaani Hizi Taasisi Za Kiislam Tulizonazo Tanzania,Kuna MOJA ama zaidi ya MOJA ndizo zinazoubeba UISLAM SAHIHI........duuh

Mkuu wangu nakushauri tena uendelee kuwa na hamu na ghamu ya kujifunza,Kwani bado UNATATIZIKA na hwenda UNATATIZWA na wapotoshaji juu ya Hayo Mambo.

Kajifunze kitu kinachoitwa POLITICAL ISLAM.....humo ndimo wapotoshaji wanaoipinga BAKWATA wamejaa na kughurika kupita kiasi.


Kijana Muuza Al Kasus
Tandale Kwa Mtogole
 
Nikutoe tongotongo tu mkuu, CCM ina misikiti na makanisa yake hilo limekuwepo tangu enzi ya Nyerere.

Kama hauamini basi baki hivyo hivyo ila usieneze uongo kuwa Makonda aliwapenda waislam kisa kachangia bakwata
Mkuu Hunitoi Tongo Wala Konjo...Wewe Ndiye Uenezaye Uongo Na Hilo Silo Suala La Mimi Kuamini...Bali Umependa Kujifurahisha Kwa Ulitakalo.Misikiti Na Makanisa Ni Nyumba Za Ibada Kumuabudu Mwenyezi Mungu,Sasa kwa Kinywa Kipana kilichojaa Urongo Unatuambia Kuwa CCM Ina Misikiti Yake😂😂😂,yaani Humo Ndani Ya "hiyo Misikiti Yake" Huabudiwa CCM,Katiba na Ilani Yake"?!!.
Pathetic.
 
,
IMG-20200808-WA0022.jpg
 
Back
Top Bottom