Leo Ngojea Niseme...
Makonda ANAKAANGWA na UWEZO WAKE MKUBWA WA KIUONGOZI.
Nyota Nyota Nyota ya Makonda imemfanya awe na UADUI na kila Mmoja mwenye roho ya korosho katika haya Mambo yetu ya SIASA......
Huko Nyuma Wako waliopendwa Sana na MARAIS waliokuwepo madarakani kwa KUSIFIWA NAO na kutaka WAWE MIFANO kwa wengine juu ya uchapa kazi wao ULIOTUKUKA....hayo yalipelekea WAKAKEBEHIWA KUZODOLEWA KUKASHIFIWA KUVUNJIWA HESHIMA na hata kutishwa kuhujumiwa nafsi zao....MIFANO iko MINGI mno.....
Mifano IPO.....ya kutosha.
Nyota ya KIUONGOZI ya Makonda ni kubwa Sana ZAIDI ya UMRI WAKE na pengine hata zaidi ya UWEZO WAKE UPSTAIRS(intelligence).......
Kipindi Cha marehemu mzee Sitta(mola amlaze pema peponi Amin) Makonda alikuwa na MAADUI wakubwakubwa kisiasa........
Watu wakasema labda ni kwa sababu AMEKUWA na UKARIBU wa kirafiki na MAADUI wa "watu"......
Hali hiyo haikupunguza UKALI WA NYOTA YAKE na pamoja ya yote HAIKUMRUDISHA nyuma.....Kuna wakati alisimama peke Yake.....
Huko TAHLISO ameshawahi kusimama peke Yake....
Huko SHIRIKISHO LA CCM VYUO VIKUU ameshawahi kusimama peke Yake......
Kwenye VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA NA SHISHA ZENYE BANGI alisimama peke Yake......
Akinamama waliotelekezwa na wazazi wenzao,alisimama peke Yake.....
......,..,.,..............
.........................
........................
..............,.........
List ya ALIYOFANYA ni NDEFU............nako alisimama peke Yake.
Sishangai na sitomshangaa AKIZISIMAMIA NDOTO ZAKE...NDOTO ZAKE PEKE YAKE......
Paul Christian Makonda anaponzwa na Nyota yake Kali na Kaliba yake Kuu KIUONGOZI.
Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM.
Muuza Al Kasus Tandale kwa Mtogole.