MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Kwa posha uwanja utajaa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Wala usihofu, wanapewa PESA na usafiri wa kwendea tu, wakurudi wanajijua wenyeweWapumbavu
Ni mpango wa shetani na ishara ya shetaniRais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.
Wananchi ni mashabiki wa Yanga!Wanaccm sio wananchi? Hebu tupe tofauti Kati ya wananchi na ccm
Ndio mtaji wa ccm!Hao sio wananchi ni Wana CCM
Mungu hawi radhi na wapumbavu[emoji1617][emoji1617][emoji1617][emoji1617][emoji1617]
Sio photoshop wengi wanasombwa na mabasi na maloriHiyo inaweza kuwa ni Fotoshop.
Kumbe wazazi wako ni mpamgo wa sheteni we nyauRais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.
🤣🤣 Wengine wamebebwa toka Igunga,Urambo,uyui,kaliuaHawa watu siyo kwamba wote ni wenyeji wa Nzega. Wnatoka wilaya mbaimbali za mkoa wa Tabora. Mfano mm na wenzangu 120 tumebebea kutoka wilaya ya Skonge
Mungu hawi radhi na wapumbavu
Hatari sana🤣🤣 Wengine wamebebwa toka Igunga,Urambo,uyui,kaliua
Wana CCM ni wa nchi gani?Hao sio wananchi ni Wana CCM
Samia atapata kashikashi kidogo Mbeya,Arusha na Songwe kidogo ila kwingine kote atazoa kura za kuzoa.Wananchi wa Nzega waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano uliofanyika katika uwanja wa Samora, Nzega Mjini Mkoani Tabora.
View attachment 2784817
View attachment 2784823
View attachment 2784824
View attachment 2784825
View attachment 2784827
Sio wananchi ni ma ccm!.Wanaccm sio wananchi? Hebu tupe tofauti Kati ya wananchi na ccm