PICHA: Mapokezi Mazito ya Rais Samia Mkoani Katavi

Kwahiyo Lucas mwashambwa mama tozo yupo juu kuriko hata jiwe aka mungu wa chato?
 
Furaha ya kumuona Rais au Furaha ya kuona hizo elfu kumi kumi wanazopewa zinazofuatwa na hasira na ghadhabu za kugundua wanakuwa shortchanged...

Ila bora uwe shortchanged minus 10,000/= kuliko fully shortchanged
 
Lucas Mwashambwa the headless chicken is here again!
 
Jinga lililo mtaji kwa matapeli. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Anaenda kuwaambia wanaotafuna hela za serikali wajitafakari. 😭😭
 
Nimatumaini yetu atapati katika hifadhi ya katavi na atatoa neno juu ya yule kijana aliyetekwa akakutwa ametelekezwa katika hifadhi na kwa upendo akamlipia 35m kwaajili yabmatibabu hadi yuvisisiemu wakaweka bango la shukrani.Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu
 
Kwahiyo hao mboga mboga wanakula perdiem kumpokea muheshimiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…