PICHA: Mapokezi Mazito ya Rais Samia Mkoani Katavi

Mkono wa serikali ni mrefu. Na hiyo ni kazi ya jeshi la polisi
 
Mkuu haya ni mapokezi ya Rais ama Mwenyekiti wa Chama?
 
Machozi yanibubujika baada ya kumuona mizengo pinda akimpokea kipenzi cha watzzzzzzzzziiiii raisi samia!
 
Wanyonge ni neno la kipumbavu sana aliliendekeza mwendazake Kwa kutaka misifa TU!
 
Eti “watu wanatamani apite juu ya migongo yao”?!

Umerudi kutoka Korea eeh?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.hii leo amepata mapokezi mazito na ya kusisimua sana ,mapokezi ambayo hayajawahi kushuhudiwa!
Daah siku wakijua wenzao wanalipwa kufanikisha hizo ziara sijui watajisikiaje!

Lucas Mwashambwa kazana asee PDF bado zinatoka!
 
Eti “watu wanatamani apite juu ya migongo yao”?!

Umerudi kutoka Korea eeh?
Vijana wa uvccm ndivyo walivyo! Wanadharau sana!
Yaani mapokezi yapo stage A-Z alafu wanajisifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…