Picha: Mbowe akiwa na watu wake wa karibu ambao wanajulikana kama "machawa" wake

Picha: Mbowe akiwa na watu wake wa karibu ambao wanajulikana kama "machawa" wake

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
20250109_170116.jpg
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
kibaraka anachukia sana akiona mambo na picha kama hizi dah 🤣
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Sura za kipigaji pigaji tu.
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Dah nikimkumbuka BenS yaani nalia sana. Huyu kigogo Mbowe alimchomekea mwenzake na akamuua ili wapate political justification. Nadhani vijana wa mbowe wajifunze, wasikubali kutumika. Same kwa Sativa.
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Hawa ndio watakua sura ya chadema? Kuna mjinga ataenda kupiga kura?
 
Lisu ni tatizo upstairs! Time will ell
Tatizo kimeanza lini, baada ya kutaka kuchuana na mchaga mwenzio Mbowe?
2016 alichaguliwa kwa kishindo uchaguzi wa chama cha wanasheria TLS, chama cha wasomi siyo majuha kama Ntobi.
2015 alikuwa chief whip bungeni
2020 alikuwa ni mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA.

Wakati huo alikuwa yuko vizuri upstairs? Amekuwa kichaa baada ya kuamua kugombea uenyekiti wa CHADEMA na ayatollah Mbowe?

Kati ya wewe na Lissu mmoja ni mwendawazimu. Guess who?
 
Nimeamini hakuna watu wasengerema Tz kama chadema... Anyways shikaneni matako mgombee uenyekit mtoane roho mkimaliza kunjeni ngumi mlale...
 
Back
Top Bottom