Picha: Mbowe akiwa na watu wake wa karibu ambao wanajulikana kama "machawa" wake

Picha: Mbowe akiwa na watu wake wa karibu ambao wanajulikana kama "machawa" wake

Mbowe ni mwizi sana mchoyo ni mtu mwenye Roho mbaya Dikteta ingawa machoni huzuga kama mtu mngwana , hakuzoea chaguzi kama hii alizoea kupita bila kupingwa, safari hii Lisu kamchangamsha, kamshikisha Adabu mpaka kuwa mwimba Taarabu mipasho na masimango kila akihojiwa na vyombo vya Habari, hata kesho akiongea ataongea masimango kuliko maendeleo ya chama, Mbowe hana Sera hana jipya kapagawa Akili zimedumaa anatumia akili za chawa kulalama hovyo hovyo, Laana ya wizi wa pesa za chama ubaya aliomtendea wangwe, zito na juzi juzi Heche inamtafuna sana
 
Mbowe ni mwizi sana mchoyo ni mtu mwenye Roho mbaya Dikteta ingawa machoni huzuga kama mtu mngwana , hakuzoea chaguzi kama hii alizoea kupita bila kupingwa, safari hii Lisu kamchangamsha, kamshikisha Adabu mpaka kuwa mwimba Taarabu mipasho na masimango kila akihojiwa na vyombo vya Habari, hata kesho akiongea ataongea masimango kuliko maendeleo ya chama, Mbowe hana Sera hana jipya kapagawa Akili zimedumaa anatumia akili za chawa kulalama hovyo hovyo, Laana ya wizi wa pesa za chama ubaya aliomtendea wangwe, zito na juzi juzi Heche inamtafuna sana
Kwahiyo tunakubaliana sasa Zitto "alifanyiwa ubaya" kisa kutaka uenyekiti?
 
Kwahiyo tunakubaliana sasa Zitto "alifanyiwa ubaya" kisa kutaka uenyekiti?
Anza na wangwe aliyeuawa kabsa kisha njoo kwa Zito aliyetiliwa sumu na juzi juzi Heche kaugua sana ilibakia kidogo afariki, Mbowe hataki kusikia mtu anawania uenyekiti kwani amefanya ufisadi wa kutisha anahofia mwenyekiti mpya atampeleka jela kwa wizi wa pesa za chama
 
Mboe ameiba mnoo na legacy anauotaka kulinda ni ya wizi si vinginevyo
 
Mbowe sasa ni shamba la bibi mwanachadema akitaka pesa ya kula anaenda kwake na kumwambia anamchukia Lisu anapewa pesa, Lisu amesaidia chawa kupata ulaji kwa mbowe
 
Saanane aliuliwa na mwendawazimu wa Chato.

Nyie walinda legacy mnaishi kwenye denial bado hamuamini naye kafa tayari na hatorudi.
Aliyehusika kumuua Ben ni ayatola mbowe, tena alimuua kwa tindikali wajuvi wanasema. Mbowe ni gaidi kubwa. Sijui sasa hivi litamtumia nani ili litoe kafara
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Mbona Salum hayupo??.....huyu dogo nilimfahamia Mbezi akiwa bado mtoto waliishi kwenye naghorofa ya NSSF mama yake alikuwa ITV.....wakati huo nakunywa KIBUKU ya kupima kwa WAMAKONDE nilikuwa naendesha tiper bovu 👍
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Wapigaji wakifanya mipango ya upigaji
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Hii timu imekaa kipigaji sana
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Huyo mwenye shati ya draft anaitwa Reginald Munisi - Tambaza boy…Mzee wa mipango na Mikakati- ni mkimya Sana Ila mambo yake ni kwenye ground - smooth operator.
 
Dah nikimkumbuka BenS yaani nalia sana. Huyu kigogo Mbowe alimchomekea mwenzake na akamuua ili wapate political justification. Nadhani vijana wa mbowe wajifunze, wasikubali kutumika. Same kwa Sativa.
Serikali ilivyokuwa inaamsakama hivyo kipindi kile! Sidhani kama alihusika angekamatwa haraka sana.
Aliyemuua Ben ni dikteta kambale mwenyewe.
 
Wapuuz watupu mcheki sugu na yy ndio mana hdi mwanae akamuita Freeman uchawa..hauna usugu wwte ww mfia tumbo
 
Back
Top Bottom