Picha: Mbowe akiwa na watu wake wa karibu ambao wanajulikana kama "machawa" wake

Picha: Mbowe akiwa na watu wake wa karibu ambao wanajulikana kama "machawa" wake

Memba mmetisha kwa hizi shombo mlizomwaga humu🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Ipo kamati ya Roho mbaya inaongozwa na mdee wenje Boniface hao Sugu na huyo Kileo mzee wa kumwagia watu Tindikali ni wajumbe humo
 
Hawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.

Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.

Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.

wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Aliyevaa Tshart nyekundu ni mtu hatari aliwahi kuwa na kesi ya kuwamwagia watu Tindikali na huyo ndiyo alimwekea zito sumu na kukosakosa heche ambaye ameugua sana siku za karibuni, Hicho kikundi ni kikundi wanufaika wa wizi wa pesa za chadema kwa sasa pesa zote alizoiba Mbowe anakula nao
 
Aise...Maisha yanaenda kasi sana eti leo hii Mbowe na Lissu ni wapinzani ndani ya Chadema!!
 
Ule wizi wa pesa za chadema kutengeneza mikopo hewa kujilipa pesa za chama ikiwa ni mbinu za kutakatisha pesa alizoiba chadema hao ndiyo hufanya nao mipango haramu mimgi ingawa ipo Kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Halima mdee, Wenje, Boniface, Wilium mungai, wao kazi yao kuu ni kumdhoofisha kumhujumu Lisu pia kumwibia kura, kufanya uchakachuaji mkubwa, kupora ushindi wa Lisu , kuandaa vikundi vya vurugu, kuandaa vitu vyote vya hovyo ambavyo vitamnyong’onyesha Lisu, Mbowe anatumia mabilioni aliyoiba chadema kuununua uenyekiti ili afiche madudu wizi wake alioufanya miaka mingi ikiwemo rushwa ya ngono kwa viti maalum
 
Hao ndo washauri wa mbowe?
Huyo mwenye tshart nyekundu ni Gaidi ndiyo huwamwagia watu Tindikali na kuwawekea Sumu, Mbowe ana vikundi vya hovyo sana, pesa alizoiba chadema sasa zinatumika kwa mambo haramu zaidi badala zingetumika kujenga chama
 
Mbowe anapenda sana kuzungukwa na wajinga wenzie. Elimu butu wote hapo.
20250108_194502.jpg
 
Dah nikimkumbuka BenS yaani nalia sana. Huyu kigogo Mbowe alimchomekea mwenzake na akamuua ili wapate political justification. Nadhani vijana wa mbowe wajifunze, wasikubali kutumika. Same kwa Sativa.
Saanane aliuliwa na mwendawazimu wa Chato.

Nyie walinda legacy mnaishi kwenye denial bado hamuamini naye kafa tayari na hatorudi.
 
Mbowe amewatesa wengi chadema alikuwa mchoyo sana mroho wa pesa alikuwa anaiba pesa anakula mwenyewe, Sasa vikundi wa wajanja wamejipanga wakajifanya wanampenda Mbowe wanataka wamsaidie kumdhoofisha Lisu, lengo lao wale pesa alizoiba Mbowe toka Hazina ya chadema, sasa pesa yote inaliwa na chawa wa mbowe huku wengi wakiwa moyoni wanamkubali lisu lakini machoni wapo kwa mbowe kwa ajili ya kula pesa alizoiba, Chawa wa mbowe wanamshukuru Lisu kwa pressure aliyompelekea Mbowe hadi mbowe kuamua kutoa pesa aliyoiba chadema sasa wanaitafuna wengi, Lisu anamhenyesha mbowe mpaka kufika tarehe 21 huenda akawa yupo hoi kifedha kwa chawa wanakula pesa za mbowe kama mchwa
 
Bora ccm iongoze milele kuliko hawa makatuni wa chadema
Mbowe ataupora ushindi wa lisu kwa kutumia hivyo vikundi vya hovyo alivyoviunda lakini ajue chadema inaenda kuwa NCCR TLP na CUF ya Lipumba
 
Back
Top Bottom