BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Bora ccm iongoze milele kuliko hawa makatuni wa chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonge ndiye Tarimo aliyekoswakoswa kutekwa siku kadhaa zilizopita?Huyu siyo chawa promax. Hao hapo juu ni zaidi ya machawa
Hahahahaha🤣🤣🤣huyu lissu mnyaturu ni mlugaluga aliyefadhiliwa mpaka makao ya kuishi na Mbowe , maana alikuja mjini na lori la mkaa.......
Aliyevaa Tshart nyekundu ni mtu hatari aliwahi kuwa na kesi ya kuwamwagia watu Tindikali na huyo ndiyo alimwekea zito sumu na kukosakosa heche ambaye ameugua sana siku za karibuni, Hicho kikundi ni kikundi wanufaika wa wizi wa pesa za chadema kwa sasa pesa zote alizoiba Mbowe anakula naoHawa ni watu wa karibu zaidi wa mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambao kama atashinda basi atavuka nao kama watu wake wa mkakati.
Hawa kama hamjui ndiyo walipewa dili la Join The Chain kufyatua na kusambaza kadi za kielektroniki ambapo walikula mgao mnene. Hili ni moja ya madili yaliyogubikwa na ufisadi wa kutisha.
Leo wamejiapiza kufanya kampeni ya kufa mtu ili mtu wao Mbowe apewe mitano tena. Bila shaka wanajua faida ni kwao na si kwa chama maana Mbowe akishinda Chadema kwa uhakika haitokuwa tena Chadema ya sasa.
wapo Sugu, Mbowe mwenyewe, Martin Masese, Henry Kileo, Bony,Bonge na mzee wa lugha chafu Ntobi.
View attachment 3196726
Huyo mwenye tshart nyekundu ni Gaidi ndiyo huwamwagia watu Tindikali na kuwawekea Sumu, Mbowe ana vikundi vya hovyo sana, pesa alizoiba chadema sasa zinatumika kwa mambo haramu zaidi badala zingetumika kujenga chamaHao ndo washauri wa mbowe?
Saanane aliuliwa na mwendawazimu wa Chato.Dah nikimkumbuka BenS yaani nalia sana. Huyu kigogo Mbowe alimchomekea mwenzake na akamuua ili wapate political justification. Nadhani vijana wa mbowe wajifunze, wasikubali kutumika. Same kwa Sativa.
Sugu anaishi nyumbani kwa Wilium mungai mjumbe kwa kamati ya Roho mbaya chini ya uongozi wa MdeeNdo mana Sugu sijawahi mkubali
Mbowe ataupora ushindi wa lisu kwa kutumia hivyo vikundi vya hovyo alivyoviunda lakini ajue chadema inaenda kuwa NCCR TLP na CUF ya LipumbaBora ccm iongoze milele kuliko hawa makatuni wa chadema
Wamemzunguka Mbowe wale pesa zote alizoiba kwenye hazina ya chademaMbowe anapenda sana kuzungukwa na wajinga wenzie. Elimu butu wote hapo. View attachment 3197016