Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Siasa sio uadui Bali ni tofauti ya mtazamo, kinachowaweka hapo ni nafasi zao na sio vingineWakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
Kumpa mbowe chama now ni sawa na kumpa mbwa mzee katoto kachanga ka mbwa akaleeKumpa TAL chama,ni sawa na kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia dog
Maji ya Mwenyekiti ni tofauti kuonyesha utofauti wa ngazi katika Chama!chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
Huyu anayeinama kama wa jinsia ya Beijing ndio apewe chama! Hana hata confidence ya kuangalia watuWakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
Maria atampigia simu lissu sasa hivi atamwambia ampelekee ufunguo wa gari aliemnunulia kwa michangoWakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
Lissu hana maji na mbowe amekuja na maji yake tofauti na wengine.Wakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
Mkuu chukua maua yako 💐💐💐💐Wakitoka hapo spana ziendelee. Hizi ni zama za ukweli na uwazi.
The truth is going to be revealed everywhere on earth in our current era.