Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 labda hana kiuLisu hana maji na mbowe amekuja na maji yake tofauti na wengine.
Spana kama z wake wenzaWakitoka hapo spana ziendelee. Hizi ni zama za ukweli na uwazi.
The truth is going to be revealed everywhere on earth in our current era.
LISSU ANAJIFANYA ANAONA AIBU KUMWANGALIA MWENZAKE YAAANI MAMB YA KITOTO SANA WANAFANYAWakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
PICHA: Mwananchi
Kabla ya Kikao Lissu kupitia BBC Swahili>>>"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi…"
Soma: Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama
Expert shida iko wapi kwa TALKumpa TAL chama,ni sawa na kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia dog
Mbowe mwenyewe maji yake ni tofauti.Lissu asinywe maji ya kikao. Mbowe sio wa kumuamini
Mpaka habari za makonda na gambo zimepita watu hawana time na vijembe vyaoSiasa sio uadui, wacha waendelee kushindana kwa hoja na sio kuumizana kimwili, ni ukomavu wa kisiasa.
Kama ni mchezo wanacheza Mbowe na Lisu ili kuipa nafasi Chadema ya kuongelewa miongoni mwa Wananchi basi wamefaulu sana.
Ndani ya huu mwezi nadhani mijadala mikubwa ni kuhusu Chadema tu
Hii ni ya 2015 😂😂😂😂. Ngoja uoneWakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
PICHA: Mwananchi
Kabla ya Kikao Lissu kupitia BBC Swahili>>>"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi…"
Soma: Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama
😂 kwani Uchaguzi tayari umefanyika?Mwenyekiti mstaafu akiwa na mwenyekiti
Kisa picha tu mkuu? Sogea trh 18-19 jan pale Dodoma.Hii ndio chadema tumaini la Nchi hii picha MACCM hawataipenda asilani abadan