Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti anajulikana ata kwa sura tuMwenyekiti mstaafu akiwa na mwenyekiti
Amuachie Kiti mwenzie sasa ili tuone huo ukomavu kwenye demokrasia mkuuNi ukomavu haswa.
KAZI ni kipimo cha UTU
Alijisahau kufanyaje?Lissu asijisahau sana Mshana Jr ni mjumbe 🐼
Unga unga kama wa Bungeni enzi za Joka la Makengeza 😂Alijisahau kufanyaje?
alikuwa power breakfast sasa hii imetoka wapi?Wakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3197565
PICHA: Mwananchi
Kabla ya Kikao Lissu kupitia BBC Swahili>>>"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi…"
Soma: Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama
Hatari snUnga unga kama wa Bungeni enzi za Joka la Makengeza 😂
Mkuu usiteme mtamaa ....masisiemu yako gizaniHii ndio chadema tumaini la Nchi hii picha MACCM hawataipenda asilani abadan
Wengine wote wanakunywa Dew drop water. Mbowe anakunywa ya Kilimanjaro....Wakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3198012
Kabla ya Kikao Lissu kupitia BBC Swahili>>>"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi…"
Soma: Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama
Ukiwa mwana siasa hutakiwi kuwa na hasira...
Nchi hii Ina mijitu mipumbavu aisee, dah!!Hii ndio chadema tumaini la Nchi hii picha MACCM hawataipenda asilani abadan
Kukua kwa demokrasia ndani ya CHADEMAWakuu
Vipi tusiamini vicheko😀?
==
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwa na Makamu mwenyekiti wake, Tundu Lissu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachoendelea makao makuu ya chama hicho, Mikocheni Dar es Salaam, leo Ijumaa, Januari 10, 2025.
View attachment 3198012
Kabla ya Kikao Lissu kupitia BBC Swahili>>>"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi…"
Soma: Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama
Watengeneze hizo kura, October kitawalamba, umma unamtaka lissuHappo mbowe ameshapiga hesabu ushindi ni alfajiri kabla hajawika jogoo😄😄😄
Kina sugu hawalali kutengeneza kura
Siasa ni tofauti za mtazamo na sio uadui wa waziwaziUkiwa mwana siasa hutakiwi kuwa na hasira...