Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiwastue hao jamani akili zao wanazijua wenyewe.Wakiamua kuvurumisha.....Houthi mko wapi ? Kuna chakula chenu huku.
Ondoa kitambi wewee kwa kufanya kazi.Joannah ,nikuone hapo ukirudi nayo ilipotoka.
Haiwezekani😅Ondoa kitambi wewee kwa kufanya kazi.
Na si ajabu yupo sokoni ananunua bamia za mia tano aliyoachiwa na shemeji yake.Watz tuna shida mahali si bure
😀😀😀😀hahaha kama gizadar imegeuka mombasa sawa, nijuavyo hiyo meli iko mombasa ndiyo hata kuna sehemu ya cruise ships, labda kama ni meli ya unyago hapo sawa …
Nmeuona huo mdude mkubwa kweli kweli#nguvumoja#
Labda nchi ya haya nayo mkayaangalie,yupo hapo hajui hata nchi inaendajeImekuja na Watalii zaidi ya 2,000.
Mama anafungua Nchi.
#VisitTanzania#
Acha upuuzi , Huwezi vuta pumzi bila kumtaja uliyemtaja?Imekuja na Watalii zaidi ya 2,000.
Mama anafungua Nchi.
#VisitTanzania#
Wivu tu KamandaAcha upuuzi , Huwezi vuta pumzi bila kumtaja uliyemtaja?
Huyo mama yupo kila nchi inapopita hiyo meli ya watalii?
Itafika sehemu mumeo anakupa mimba badala ya kumsifia kwa kazi nzuri ya kukukaza unamsifia huyo uliyemtaja.
Norwegian cruise ships go to Caribbean, Tanzania, Bermuda, Alaska, Hawaii, Europe, Africa, Asia, Australia & New Zealand, Bahamas, Canada & New England, Antarctica, Greek Isles, Mediterranean, Mexico, Northern Europe, Pacific Coastal, Panama Canal, South America, Transatlantic, and weekend destinations.
Norwegian Cruise Line (NCL) Destinations: NCL Route with 450 Locations
Discover top Norwegian Cruise Line destinations including Alaska, Caribbean, Hawaii, Africa, New York, etc. Book your NCL Cruise holiday with CruiseBooking.comwww.cruisebooking.com
Uchumi unategemeana!!Meli imefika wanaofaidika ni watu wenye Coaster za Kukodishwa,Hotel, Casino.
Wajasiliamali wadogo hii ilikuwa fursa yao kuwekewa mazingira kwa kuuza vinyago,urembo na vazi za khanga za Africa. Sehemu za kuuza hivyo vitu zipo mbali na hao watapelekwa baadhi ya maeneo
Wakili Gertrude LHRC.alikuwa anahojiwa asubuhi katika tv.Yupi tena?