MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Bado mkuu, keki ya taifa haijanifikiaKwani wewe unakula na kulia jalalani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mkuu, keki ya taifa haijanifikiaKwani wewe unakula na kulia jalalani?
Sasa wewe unakuta kichwa maji halafu unataka ukaoe ushuani huko😀😀 . Ndege wafananao huruka pamoja . Ndio maana mimi nina ruka angani na ephen mpaka ndege wenyewe wanaona wivu.CCM mpaka ndoa mnapeana connection 🤣
True.Pesa hainunui class,au huu msemo hujawahi usikia
Tatizo siwezi kuvaa mashati ya kijani kama damu ya predator.Sasa wewe unakuta kichwa maji halafu unataka ukaoe ushuani huko😀😀 . Ndege wafananao huruka pamoja . Ndio maana mimi nina ruka angani na ephen mpaka ndege wenyewe wanaona wivu.
Mashati ya kijani ndio mashati yenye kuleta amani na tabasamu kwa watanzania.Tatizo siwezi kuvaa mashati ya kijani kama damu ya predator.
Watu wapo msibani . Naomba tuendelee kuwapa faraja wafiwa.Pole na msiba.Nje ya mada mwanamke apambe sebule vizuri inangangaa sana na dhahabu feki kama ya wasafi wakati ni first family.
Poleni lakini sebule limezidi kungaa mpaka linakera kwenye picha.Poleniiii.Watu wapo msibani . Naomba tuendelee kuwapa faraja wafiwa.
Sema jamaa ana kifua kipana hiyo minyama nyama shoo lazima uwe vizuri maana nyama zinakua zimemwagika mwakiga hovyo kuficha maeneo muhimu!Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Sebule haivutii hata kidogo japo kua samani ni za bei ghali.Poleni lakini sebule limezidi kungaa mpaka linakera kwenye picha.Poleniiii.
Nipe namba zake nimpe pole...ila pia ni mwulize kwanini mumewe alituharibia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana...halafu nisikilizie hizo sifa ulizompa kama kweli zipo...Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Uwe na heshima na kujiheshimu.Sema jamaa ana kifua kipana hiyo minyama nyama shoo lazima uwe vizuri maana nyama zinakua zimemwagika mwakiga hovyo kuficha maeneo muhimu!
Ndo ukweli jaribu shoo ya kibonge uone hekaheka zake!Uwe na Mheshimiwa.
Salamu nyingi za pole Kwako mh.waziriNdugu zangu Watanzania,
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Philipo Mpango ameweza kufika na kutoa pole na mkono wa faraja kwa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa pamoja na Mkewe Mheshimiwa Wanu Hafidhi .
Hii ni kufuatia kifo cha Mzee Omary Mchengerwa ambaye ni Baba mzazi wa Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa. Ambaye alifariki akiwa Ibadani Makka ambako alizikwa huko huko Makka.
Mheshimiwa Makamu wetu wa Rais ametoa pole sana kwa ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha mzee Omary Mchengerwa ambaye ametangulia mbele za Haki.
Nami pia Lucas Mwashambwa naendelea Kutoa pole sana kwa Mheshimiwa Waziri na Familia yake pamoja na ndugu jamaa na marafiki na wote tulioguswa na Msiba huo. Mungu awape Moyo wa subira wakati huu mgumu ambao wanapitia.View attachment 3250589View attachment 3250590
Nilisikia pia hapendi upambe,kulamba watu matako na uchawa ili alambe teuzi...nimpole Sana huyu binti.Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Kwani wewe umeona hapo walipo ni Makka?Naskia msiba upo Macca, kwahy hao wote wanalipwa perdiem mana wapo nje ya nchi kuhudhuria msiba.
Dah kweli n noma.
Naskia marehemu atazikwa huko huko msiba ulipotokea, kuna mada inasema hvy ila sina uhakika kama kwenye hy picha n Macca.Kwani wewe umeona hapo walipo ni Makka?
Acha kujitoa ufahamu, binti wa mama Samia ni mke wa pili.Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Lakini huyo jamaa SI anamke zaidi ya mmoja Sasa kwanini kwenye mambo mhimu kama haya anaonekana mmoja?Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.