Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Kidogo nimeona kosa sijui picha tu? Kwa mbali huyu mama ngozi yake ya mkono inaonekana yaani baibui lake ni transparent. Kama kweli macho yangu yapo sawa basi haitakiwi mwanamke wa kiislamu kuvaa ngui transparent. Kaka macho yangu makengeza anisamehe
 
Naskia marehemu atazikwa huko huko msiba ulipotokea, kuna mada inasema hvy ila sina uhakika kama kwenye hy picha n Macca.
Anyway, c bado kuna baadhi wataenda kuzika, vp watalipwa perdiem?
Hizo picha hapo hawapo Makka. Ila Marehemu Mzee Omary alizikwa Makka.
 
Kidogo nimeona kosa sijui picha tu? Kwa mbali huyu mama ngozi yake ya mkono inaonekana yaani baibui lake ni transparent. Kama kweli macho yangu yapo sawa basi haitakiwi mwanamke wa kiislamu kuvaa ngui transparent. Kaka macho yangu makengeza anisamehe
Ni matatizo tu ya macho yako.
 
Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Kha...hii kali Mungu Mungu nisaidie nisifike hizi level..
 
Back
Top Bottom