Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Sema jamaa ana kifua kipana hiyo minyama nyama shoo lazima uwe vizuri maana nyama zinakua zimemwagika mwakiga hovyo kuficha maeneo muhimu!
 
Nipe namba zake nimpe pole...ila pia ni mwulize kwanini mumewe alituharibia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana...halafu nisikilizie hizo sifa ulizompa kama kweli zipo...
 
Salamu nyingi za pole Kwako mh.waziri
Kwa Nia njema TU. Nimewai kuwa mpanga roaster book kwenye mambo ya ulinzi na usalama kwa muda wa miaka miwili..

Maaskari wengi wanatumiaga vilevi pombe Kali, Bangi, ugolo n.k
Nikadevelop uwezo mkubwa wa kutambua mtu akitumia kilevi chochote kile ntamjua TU.

Nikimwangalia mh.waziri Kuna kilevi anakitumia na assume kua sahihi.

Naomba kuwasilisha.
 
Nilisikia pia hapendi upambe,kulamba watu matako na uchawa ili alambe teuzi...nimpole Sana huyu binti.
 
Kwani wewe umeona hapo walipo ni Makka?
Naskia marehemu atazikwa huko huko msiba ulipotokea, kuna mada inasema hvy ila sina uhakika kama kwenye hy picha n Macca.
Anyway, c bado kuna baadhi wataenda kuzika, vp watalipwa perdiem?
 
Acha kujitoa ufahamu, binti wa mama Samia ni mke wa pili.
 
Lakini huyo jamaa SI anamke zaidi ya mmoja Sasa kwanini kwenye mambo mhimu kama haya anaonekana mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…