Kidogo nimeona kosa sijui picha tu? Kwa mbali huyu mama ngozi yake ya mkono inaonekana yaani baibui lake ni transparent. Kama kweli macho yangu yapo sawa basi haitakiwi mwanamke wa kiislamu kuvaa ngui transparent. Kaka macho yangu makengeza anisameheNdio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Hizo picha hapo hawapo Makka. Ila Marehemu Mzee Omary alizikwa Makka.Naskia marehemu atazikwa huko huko msiba ulipotokea, kuna mada inasema hvy ila sina uhakika kama kwenye hy picha n Macca.
Anyway, c bado kuna baadhi wataenda kuzika, vp watalipwa perdiem?
Ni matatizo tu ya macho yako.Kidogo nimeona kosa sijui picha tu? Kwa mbali huyu mama ngozi yake ya mkono inaonekana yaani baibui lake ni transparent. Kama kweli macho yangu yapo sawa basi haitakiwi mwanamke wa kiislamu kuvaa ngui transparent. Kaka macho yangu makengeza anisamehe
Walioenda kuzika Macca wamelipwa perdiem zao?Hizo picha hapo hawapo Makka. Ila Marehemu Mzee Omary alizikwa Makka.
Hujafahamu umerukia tu baada ya kusikia makkaNaskia msiba upo Macca, kwahy hao wote wanalipwa perdiem mana wapo nje ya nchi kuhudhuria msiba.
Dah kweli n noma.
Ngojea nichungulie tenaNi matatizo tu ya macho yako.
Nenda kamlete huyo wa pili unayemfahamu wewe umuweke hapo.Lakini huyo jamaa SI anamke zaidi ya mmoja Sasa kwanini kwenye mambo mhimu kama haya anaonekana mmoja?
Inasikitisha sana mkuuHujafahamu umerukia tu baada ya kusikia makka
Malaria 2 huna macho kengeza ila huyu kiumbe hutetea kila kitu wakati hapo ni dhahiri hiyo nguo ni transparent hapo kutoka kwenye bega.Ni matatizo tu ya macho yako.
Unaona kuna majonzi hapo?? Sina majonzi kama hao walio kwenye picha ndio maana nimeiona nguo?Watu wapi na majonzi na kutoa faraja kwa wafiwa .halafu wewe upo umekodoa macho kuchunguza nguo za watu.
Watu wana pesa lakini hawana maarifa. Sebule ya kishamba mno!Pole na msiba.Nje ya mada mwanamke apambe sebule vizuri inangangaa sana na dhahabu feki kama ya wasafi wakati ni first family.
Kwa hiyo unafikiri watu wapo kwenye sherehe?Unaona kuna majonzi hapo?? Sina majonzi kama hao walio kwenye picha ndio maana nimeiona nguo?
Vipi wewe una majonzi??
Ulitaka waweke nini hapo sebuleni?Watu wana pesa lakini hawana maarifa. Sebule ya kishamba mno!
Kha...hii kali Mungu Mungu nisaidie nisifike hizi level..Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Kwa utaratibu wa kiislam hujaji akifia macca mukarrama atazikwa huko na serikali ya saud itagharamia kila kitu👃👃Walioenda kuzika Macca wamelipwa perdiem zao?
Umejibu vyema.Kwa utaratibu wa kiislam hujaji akifia macca mukarrama atazikwa huko na serikali ya saud itagharamia kila kitu👃👃
Level zipi.Kha...hii kali Mungu Mungu nisaidie nisifike hizi level..