Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Mke WA kwanza,sijamuona, akipewa pole! Hii imekaaje
 
Hakwenda kumzika baba yake
 
Huyo mkewe ni Samia copy kabisa
 
Hana Majinn ?
 
Uchawa kazi sana.
 
Kwa nini hawakumrudisha marehemu nyumbani, au huko umra hawarusu kutoka na marehemu?
 
Ile kesi yako ya wizi wa mahindi hapo vwawa uliimaliza?
 
Una kimbelembele hadi kwenye familia za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…