Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Da wewe jamaa umeshindikana kwa uchawa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimebubujikwa 😢😢
 
Sina hela lakini hata nikiwa nazo siwezi nunua sofa kama hizo,sawa na mtu kajenga nyumba nzuri halafu ukiingia ndani unakuta tv ni aboder au sundar
 
Pole na msiba.Nje ya mada mwanamke apambe sebule vizuri inangangaa sana na dhahabu feki kama ya wasafi wakati ni first family.
Sijui huko wanakosafiri kila uchwao huwa wanajifunza nini!,me nilitegemea watu kama hao watakuwa na exposure wanajua vtu vingi kumbe holla tazama hizo sofa mtu wangu, meza ya mikutano ndo imewekwa sebuleni, ukute ukutani kuna tv ya sundar na sabufa
 
Khaaaaah we jamaa sasa umezidi aiseee
 
Luca umeshindikana.
 
Vipi, walikosa pesa za kusafirishia mwili wa marehemu hata wazike huko uarabuni? naona kama wamekosea.
 
Yule mke mwingine kafichwa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…