Kwaio unataka kuniambia hizi picha za uyu dogo ni zaidi ya zile video na Documentaries za freemason kule U tube??Freemason is a secret society...unajiunga kwa Siri...hakuna mipicha.
Hawarekodiwi, hawatangazi hawapeleki mitandaoni hawavai hivyo... Inauguration ceremonies ni na za kifichoWnmanafanyaje boss[emoji848]
Kaka kinaitwaje hicho kitabuHivi munadhani kujiunga Freemason ni rahisi hivyo?Pitieni kitabu cha mzee CHANDE alivyosota kuingia chani lichayakwamba alikuwa na influence kwajamii wakati huo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]Freemason na mshumaa wa mia mbili wapi na wapi...
...
.
Kabla ya kujiunga nao kwanza inabidi ufanye kufuru kubwa ili kukidhi vigezo.[emoji848] ukitaka kujifunga form unachukua wapi wakuu
Kabla ya kujiunga nao kwanza inabidi ufanye kufuru kubwa ili kukidhi vigezo.
Baadhi ya wataalamu wa masuala ya jadi wana njia zao za mkato zinazoweza kukuunganisha kwa urahisi mno.
[emoji23][emoji23][emoji23] atakua kajiunga Filimasoni huyo!Bongo kuna Freemason na Filimasoni tuweke wazi kajiunga ipi?
Hizi porojo tu. Freemason ni society iliyoanza kwa wazungu hawana matumizi ya tunguriSo hao jamaa wa freemason wanamahusiano na wataalamu wa masuala ya jadi???
Hizi porojo tu. Freemason ni society iliyoanza kwa wazungu hawana matumizi ya tunguri
HII HABARI KUNA SEHEMU NIMEIONA NIKAJUA FEKI,ILA KAMA NI KWELI INASIKITISHA SANA KWA NINI HAWA JAMAA WANAUZA NAFSI ZAO KWA SHETANI!!!