donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Probably issa new video coming out, secret societies initiation ceremony zake hazifanywagi public kiivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi ya wataalamu maana fani ya masuala ya jadi ni pana mno.So hao jamaa wa freemason wanamahusiano na wataalamu wa masuala ya jadi???
Usibishe usichokijua.Hizi porojo tu. Freemason ni society iliyoanza kwa wazungu hawana matumizi ya tunguri
Mzee baba ndugu yangu naomba uendelee tu kutupa habari za WCB tu huna uelewa wowotr kuhusu Freemason lwa hii comment yako imedhihirisha hilo..naomba niishie hapo mambo mengine kama hamjui muwe mnakausha tuKabla ya kujiunga nao kwanza inabidi ufanye kufuru kubwa ili kukidhi vigezo.
Baadhi ya wataalamu wa masuala ya jadi wana njia zao za mkato zinazoweza kukuunganisha kwa urahisi mno.
Mkuu narudia tena ungeacha ubishi tu kama hujui kwa undani kuhusu hii jamii..maana naona unaongea shits tu eti matunguri,ugangaUsibishe usichokijua.
Kama vitu hujui ni heri uwe unauliza tu kuliko kubisha.Mzee baba ndugu yangu naomba uendelee tu kutupa habari za WCB tu huna uelewa wowotr kuhusu Freemason lwa hii comment yako imedhihirisha hilo..naomba niishie hapo mambo mengine kama hamjui muwe mnakausha tu
Aisee hivi bado unataka ubishane na mimi pamoja na kukuomba usibishie watu kuhusu FM kwakuwa una uelewa mdogo kuhusu Freemason(comments zako zinathibitisha hilo) aya bhana kwakuwa tunatumia ID feki hatujuani si mbaya kila mtu afanye anayotaka adanganye aseme ukweli shauri yakeKama vitu hujui ni heri uwe unauliza tu kuliko kubisha.
Ninarudia tena, usibishe usivyovijua haswa mambo haya ya giza.Aisee hivi bado unataka ubishane na mimi pamoja na kukuomba usibishie watu kuhusu FM kwakuwa una uelewa mdogo kuhusu Freemason(comments zako zinathibitisha hilo) aya bhana kwakuwa tunatumia ID feki hatujuani si mbaya kila mtu afanye anayotaka adanganye aseme ukweli shauri yake
[emoji848] ukitaka kujifunga form unachukua wapi wakuu
Hance unazidi kuthibitisha kwamba huelewi kitu aisee unafikiri kila uchawi ni nguvu za giza(black magic)..kwa taarifa yako unavyohisi wewe kama raia wenzako mtaani mnavyopotoshana kuhusu Freemanson sivyo kabisa..mzungu na Black magic ndio nasikia leo 😂😂Ninarudia tena, usibishe usivyovijua haswa mambo haya ya giza.
Sir Andy Chande uliwahi kumsikia?Ninarudia tena, usibishe usivyovijua haswa mambo haya ya giza.
Kama vitu hujui ni heri uwe unauliza tu kuliko kubisha.
😂 😂 😂 😂 😂Ni nyimbo mpya hiyo
Acha uboya
Upumbavu mtupu, eti freemason!!Inasemekana aliyekuwa msanii wa kundi la ya moto band amejiunga freemason View attachment 1223648View attachment 1223649
Nicheki[emoji848] ukitaka kujifunga form unachukua wapi wakuu
Secret societies hazina huu upupuInasemekana aliyekuwa msanii wa kundi la ya moto band amejiunga freemason View attachment 1223648View attachment 1223649