PICHA: Mwenyekiti wa CCM Taifa Cde Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza kikao Cha Halmashauri Kuu kwa Mafanikio Makubwa

PICHA: Mwenyekiti wa CCM Taifa Cde Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza kikao Cha Halmashauri Kuu kwa Mafanikio Makubwa

View attachment 3265696
View attachment 3265707
View attachment 3265697
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), leo tarehe 10 Machi 2025, jijini Dodoma.
View attachment 3265838
View attachment 3265837
View attachment 3265806
View attachment 3265698
View attachment 3265699
View attachment 3265804
Lengo la kikao ni nini? Au wanapitia upya maamuzi yaliyofanywa juu kwa juu ya ku.pitisha kuwa mgombea?
 
Yamevimbiwa hayo🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
View attachment 3265696
View attachment 3265707
View attachment 3265697
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), leo tarehe 10 Machi 2025, jijini Dodoma.
View attachment 3265838
View attachment 3265837
View attachment 3265806
View attachment 3265698
View attachment 3265699
View attachment 3265804
Amefanikiwa nini kwenye hilo hema?
 
Mafanikio ya nn sasa katika hicho kikao . Ninachojua mafanikio ni mchakato wa mda mrefu unaopimwa kwa matokeo sasa ndugu mwandishi hapo umeteleza kidogo ata kama ni kusifu
 
View attachment 3265696
View attachment 3265707
View attachment 3265697
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), leo tarehe 10 Machi 2025, jijini Dodoma.
View attachment 3265838
View attachment 3265837
View attachment 3265806
View attachment 3265698
View attachment 3265699
View attachment 3265804


Ni lini Tanzania tutapata viongozi wenye maono. Naona hapa ni machawa na wanafiki wamejaa.
 
Back
Top Bottom