PICHA: Mzee Jakaya hilo shati nimelielewa sana

PICHA: Mzee Jakaya hilo shati nimelielewa sana

Salaam, Shalom!!

Kwenye mambo ya mpira mtaani, ni nadra sana kukuta mshabiki wa Yanga amevaa nguo zenye RANGI nyekundu.

Sasa Leo inatembea picha Moja ikimuonyesha Mzee wetu mstaafu aliyebaki akiwa amevaa shati lenye RANGI mchanganyiko nyeupee, bluu na nyekundu, na chini kavaa suruali ya bluu.

Sasa RANGI hizi zinafanana 100% na RANGI za bendera ya CDM!!

Hii inaleta picha na ujumbe Gani kuelekea chaguzi za 2024&2025?

Karibuni🙏
 
Salaam, Shalom!!

Kwenye mambo ya mpira mtaani, ni nadra sana kukuta mshabiki wa Yanga amevaa nguo zenye RANGI nyekundu.

Sasa Leo inatembea picha Moja ikimuonyesha Mzee wetu mstaafu aliyebaki akiwa amevaa shati lenye RANGI mchanganyiko nyeupee, bluu na nyekundu, na chini kavaa suruali ya bluu.

Sasa RANGI hizi zinafanana 100% na RANGI za bendera ya CDM!!

Hii inaleta picha na ujumbe Gani kuelekea chaguzi za 2024&2025?

Karibuni🙏
mpaka uchaguzi 2025 yeye atakuwepo?
 
Coda zimewakaa ka Wajinga flani hivi na Sura zao za Taharuki🤣
 
Namuona Riz1 hapo meza ya nyumaa anamtazama dingi wakee. Royal Family km Royal Family. Watu na life lao Duniani.
Woiiiiih
 
View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Kizimkazi na suti hiyo na peni hizo zimeharibu picha , ukijijini nao tabu

Wote,mliopo karibu na vice presidential office ,mwambieni mpango abaki na sura yake ,mambo ya tabasamu aachie wenyewe

Mstaafu ,kavaa bahama yangu ya Christmas 1976, lakini imewafunika wooote ,aibu
 
Suti ya Mzee imemwaga kidogo ila mnaoshona nguo za viongozi Mungu anawaona.

Eti bahama, Mzee Jakaya ni nembo ya furaha na amani ya Taifa letu
Ila Mpango wa Mungu suti imemkataa! Na bahama la JK nalo halijakaa sawa!
 
Back
Top Bottom