Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
“boko wala wenzio
boko nawe utaliwa!”
boko nawe utaliwa!”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka uchaguzi 2025 yeye atakuwepo?Salaam, Shalom!!
Kwenye mambo ya mpira mtaani, ni nadra sana kukuta mshabiki wa Yanga amevaa nguo zenye RANGI nyekundu.
Sasa Leo inatembea picha Moja ikimuonyesha Mzee wetu mstaafu aliyebaki akiwa amevaa shati lenye RANGI mchanganyiko nyeupee, bluu na nyekundu, na chini kavaa suruali ya bluu.
Sasa RANGI hizi zinafanana 100% na RANGI za bendera ya CDM!!
Hii inaleta picha na ujumbe Gani kuelekea chaguzi za 2024&2025?
Karibuni🙏
Inaashiria nini, achilia mbali habari ya kuwepo au kutokuwepo!!mpaka uchaguzi 2025 yeye atakuwepo?
Ulimpima?Kansa inamtafuna taratiibu.
Kansa ya nini?Kansa inamtafuna taratiibu.
Gwajima shika hayo maneno.Ulimpima?
Hapana,mume wa rais sidhani kama nimke wa rais, ila kutokana na utoko huo washeria sikumaliza vifungu , labda usiniambieHy ya wake wa marais inaenda sambamba na waume wa marais
Una uhakikaa? Wee ndo Dr wakee? LolKansa inamtafuna taratiibu.
Chini ya mwamunyangeChuma icho.
KAZI ni kipimo cha UTU
Au anadanganya ile tezidume iliponeshwaUna uhakikaa? Wee ndo Dr wakee? Lol
Binti Jakaya umeng'aka vikali😂Una uhakikaa? Wee ndo Dr wakee? Lol
Kizimkazi na suti hiyo na peni hizo zimeharibu picha , ukijijini nao tabuView attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Ila Mpango wa Mungu suti imemkataa! Na bahama la JK nalo halijakaa sawa!Suti ya Mzee imemwaga kidogo ila mnaoshona nguo za viongozi Mungu anawaona.
Eti bahama, Mzee Jakaya ni nembo ya furaha na amani ya Taifa letu
Hapo kwenye milele sahau! Uchaguzi wa 2030 kama atabahatisha utakuwa wa mwisho kwake!Yaani namkubali sana mzee Jk,..aishi Milele
Ishu sio mke, ishu ni kuwa mwenza wa rais.Hapana,mume wa rais sidhani kama nimke wa rais, ila kutokana na utoko huo washeria sikumaliza vifungu , labda usiniambie