PICHA: Mzee Jakaya hilo shati nimelielewa sana

PICHA: Mzee Jakaya hilo shati nimelielewa sana

Naondoka Miye Nawaachia Chuma Hicho
Nakwenda Msoga Nalala Usingizi Baridi Sana
 
... sio kila tatizo la tezi dume ni kansa ya tezi dume kama ambavyo sio kila uvimbe wa matiti ni kansa ya matiti, ... hakika wewe sio daktari na ufinyu wako wa maarifa hayo unajidhihirisha!
NB: ... wakati unasubiri wenzio wafe, 'count down' yako inaendelea pia!
KIKWETE ATAENDELEA KUISHI MIAKA MINGI BAADA YA UMAUTI, WEWE JE?
Mbona Mzee alishapona hii kitu,Tumwombee tu Afya njema
 
View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Mzee wa kushoto katisha zaidi, suti imekaa mahala pake.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Ila Mzee JK Mshua sana🤣🤣🤣
 
View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Huyu mzee mwili upo ccm akili yake ipo chadema , siku akinikuta nyampala huko mbiguni nitampungizia adhabu
 
Jakaya ni mwanaume na nusu. Mungu amlinde Rais wetu. Mioyoni mwetu utaishi milele
 
Mimi nimeelewa huyo mzee kushoto,
suti imemkaa haswa..
Huyu mzee anaitwa mzee Mwishehe mlao. Aliwahi kuwa mbunge mkuranga. Ni mzee wangu makini sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240630_100402_Instagram.jpg
    Screenshot_20240630_100402_Instagram.jpg
    874.3 KB · Views: 1
Na pesa inachangia
Njoo uswazi huku watu wana roho safi ila wamepauka mno

Haiwezekani mtu akawa na roho nzuri,isiyo na makasiriko halafu akapauka,HAIWEZEKANI!
Roho mbaya,makasiriko,visirani,vinyongo n.k ndiyo husababisha mwili kudhoofika na kutopata mafanikio
Ni ngumu sana kumtenga maskini na vitu tajwa hapo.
 
View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Aishi sana Mzee wetu
 
Jk ni humble guy psychological hata kama mtu anachuki naye anampotezea halafu watu wengi hawajui kwamba jk alikuwa anamkubali sana mwalimu nyerere anaishi footsteps hata uongeaji wake yaan and thats the reality
 
Back
Top Bottom