Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... sio kila tatizo la tezi dume ni kansa ya tezi dume kama ambavyo sio kila uvimbe wa matiti ni kansa ya matiti, ... hakika wewe sio daktari na ufinyu wako wa maarifa hayo unajidhihirisha!Au anadanganya ile tezidume iliponeshwa
Mzee anaumwa?View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Halafu wazuri huwa hawafi.... sio kila tatizo la tezi dume ni kansa ya tezi dume kama ambavyo sio kila uvimbe wa matiti ni kansa ya matiti, ... hakika wewe sio daktari na ufinyu wako wa maarifa hayo unajidhihirisha!
NB: ... wakati unasubiri wenzio wafe, 'count down' yako inaendelea pia!
... KILA NAFSI ITAONJA MAUTI! ... DUNIA INAKINAHI PIA, HATUKUJA KUOTA JOE!Halafu wazuri huwa hawafi.
Yule Mzee wa Mkuranga ilikuwa ni bahati mbaya tu! Hawafagi hawa
Usikaze shingo hapa mapito... sio kila tatizo la tezi dume ni kansa ya tezi dume kama ambavyo sio kila uvimbe wa matiti ni kansa ya matiti, ... hakika wewe sio daktari na ufinyu wako wa maarifa hayo unajidhihirisha!
NB: ... wakati unasubiri wenzio wafe, 'count down' yako inaendelea pia!
KIKWETE ATAENDELEA KUISHI MIAKA MINGI BAADA YA UMAUTI, WEWE JE?
... good boy! ... you got my point!Usikaze shingo hapa mapito
Na pesa inachangiaIla roho nzuri inalipa sana,Ona Leo Mzee Jakaya anaonekana kama kijana tu,Tujifunze tuache makasiriko kwenye maisha, Uishi sana Mzee Jakaya na bahama lako🤣🤣
Sawa kaka jambaziKikwete ni zaidi ya alivyo, kwa haoiba na ueledi wake tu, kwa sasa alipaswa awe Rais wa Afrika nzima.
WaTanzania, kwa SANAA tumefuzu kwelikweli!Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
Sijui kama wanayaelewa vizuri maneno yako hayo , mkuu 'Rabbon', hata sina uhakika kama wazo la aina hiyo lilishawaingia akilini mwao hadi sasa..., maana dalili hazionyeshi kuwa wanaelewa hayo unayosema.2025
Ushindi huooo Upinzani.
Sijui kama CHADEMA imejiandaa kushika Dola.
View attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Hili shati angevaa msukuma story ingekuwa nyingineView attachment 3029419
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you.
======
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongoza Hafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani iliyofanyika Hyatt Regency Hotel Jijini Dar es Salaam. Juni 29, 2024.
View attachment 3029420
Napenda sana JFIla roho nzuri inalipa sana,Ona Leo Mzee Jakaya anaonekana kama kijana tu,Tujifunze tuache makasiriko kwenye maisha, Uishi sana Mzee Jakaya na bahama lako🤣🤣
Kikwete anasema hapo kuwa sasa Chadema wapo tayari.2025
Ushindi huooo Upinzani.
Sijui kama CHADEMA imejiandaa kushika Dola.
Unamaanisha amevaa jezi ya CHADEMA?