Picha na video za utupu za Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Millicent Omanga vinasambaa

Picha na video za utupu za Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Millicent Omanga vinasambaa

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Sitaiweka hapa kutokana na maadili ya JamiiForums ila sisi Waafrika yapaswa tubadilike hizi siasa za kuchafuana hasa kutegeana makamera ya siri kwenye hoteli ili kuharibu ushawishi ni ujinga.

Kuna watu wanasema wakenya wasomi ila kwa hili ni ujinga naona inatrend kila mkenya anafurahia udhalilishaji huu wa waziri hasa timu Odinga sio sawa.

Watanzania tukatae haya kuona matako ya Mhe. wewe itakusaidia nini? tubidiishe utu

Pole sana Millicent Omanga.

USSR

Screenshot_20230418-074040.jpg
20230418_073306.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sita iweka hapa kutokana na maadili ya jamii forum ila sisi waafrika yapaswa tubadilike hizi siasa za kuchafuana hasa kutegeana makamera ya siri kwenye hoteli ili kuharibu ushawishi ni ujinga .

Kuna watu wanasema wakenya wasomi ila kwa hili ni ujinga naona inatrend kila mkenya anafurahia udhalilishaji huu wa waziri hasa timu odinga sio sawa ,

Watanzania tumkatae haya kuona matako ya mh wewe itakusaidia nini tubidishe utu

Pole sana Millicent omongi .

USSR View attachment 2591671View attachment 2591672View attachment 2591673

Sent using Jamii Forums mobile app
Jina ni Omanga na sio Omongi!
Video nimeona jana,
Mimi sijaona chochote vibaya zaidi ya invasion of the right to privacy ilivyofanywa na lijitu lijinga. Tena video ni ya heshima kidogo angalau amelala na baadhi ya nguo, wengine huwa wanalala na birthday suit na miguu eamejiachia!.

kiwa mtu umejaaliwa, na wewe mwenyewe unapenda kuvaa mavazi ya kuonyeshea ulivyo jaaliwa, hakuna ubaya wowote watu kuona kazi nzuri ya Muumba kwenye uumbaji!. Watu wenye heshima zao siku zote na wakati wote watavaa mavazi ya staha!.

Whoever aliyepiga hiyo video ni kichaa na aliyeiposti pia ni kichaa!.
Ukichaa huu usivumiliwe kamwe!
P
 
Back
Top Bottom