Alafu we jamaa utafika huko unapotaka kufika ukishikwa tako unashtuka na kupiga kelele.ukiingiziwa kidole si ndio JF yote itajaa wewe.kula hata mavi yako nani kakuziya kama umekubali kuabudu sanamu na kiume yesu itakuwa nguluwe
... mtoa mada hayuko peponi Mkuu.Mbona peponi kuna mito ya pombe?
Hiyo minyoo ipo hata Kwenye nyama ya ng'ombe na mbuzi.Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
MREMBO WA DUNIA.NOAH
MBUZI KATOLIKI
KITIMOTO
MDUDU
MEZA KUBWA
NGURUWE
SWINE
Tatizo game halina formula kuna watu wameitwa akina Moses, David, Eliya, Enock ila gambe mixer njia za vumbi huwaambii kitu.Nilikuw nawaza kumwita mwanangu Ivan anazaliw next months. Kumbe mnapenda kula nguruwe ngoja niwaze jina jingine[emoji2]
Utakuwa una kifafa Cha kurithi si bure mkuuToka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Kwani tulikutuma ukale si tumbo lako mwenyewe, wewe kula kila kitu unachoona kinakufaa hata mzoga wewe kula tu si umependa mwenyewe kwani unapokula huwa unatuomba ushauri?Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Mtu asikwambie kitu bwana wewe kula kama wao hawataki shauri yao wale wanachopenda wao!Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Mimi nimetoka kula hii KITU hata nusu saa haijapita.. ☺️☺️☺️Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Huo ni uamuzi wako. Kuna watu wanakula panya, nyoka, mende hata mjusi.Moja ya uchafu ambao siwezi kula ni kitimoto.
Ushawai kusikia watu walifunikwa na kifusi mgodini wakala mwili wa marehemu na kushushia mkojo waoSiwezi kula hata kwa bunduki!! [emoji57][emoji57][emoji57]
Unajishaua tu..😂😂😂Siwezi kula hata kwa bunduki!! 😏😏😏
Haujui maana ya ukristo kwa ujumla. Wapi kwenye Biblia wameruhusu ushoga? Kenya siyo nchi ya wakristo.KENYA, taifa Kristu, YARUHUSU USHOGA JANA......ni mwendo wa kufokoana tu!