PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Muislam gani unautwika?
Kitimoto sawa waweza kula sehemu ya shida.
Je ulisoma popote katika Korani ikiruhusu kuwa ukiwa jangwani pasipokuwa na maji, ukapata pombe utulize kwa kiu yako?
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Picha ya huyo mdudu (Senene) wengine hatufahamu na tuna hamu kumtafuna!
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Toa tangazo kuwa ukionekana unakula wakulambe bakora 100
Utaacha tu
 
Hii kitu naskia watoto wazuri eti huwa wanaiita my wao utaskia, " jamani mai wetu" ,😃😃
 
Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Utapata kifafa hata ukila ng'ombe cha msingi usisahau kunawa tu
 
Ipi dhambi kubwa,
Kupita barabara za vumbi au kula nyama ya nguruwe.?
Watu wa dini ya haki nawashangaa Sana. Muislam akinywa pombe Ni sawa, muislamu akiingia gesti Tena kupitia barabara za TARURA sawa tu.
Muislam akiwa na Kimada sawa, muislamu akiiba pesa za serikali Ni shujaa, muislamu akiiba kura, mjanja, muislamu akikarabati gari ya serikali ya milioni 86 kwa kutumia milioni Mia na sabini sawa.
Ila muislamu akila kitimoto au akinywa sweet wine. Ni shida++
Unafik unawasumbua,Bro TUENDELEE kula tu ,Tukimaliza kazi tutavikwa Taji!!
 
[emoji1787][emoji1787] chakula pendwa cha shehe Mbowe icho ...mwenyewe anasema baada ya icho kinachofuatia ni kulamba asali ya mama samia na baada ya asali kinyaji chake pendwa anashushia mzinga wa gogo ya konyagi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Nimekuta mahali huko MARANGU hii kitu ikiwa mezani inaitwa SAMIA.
Nikiwauliza kwa nin SAMIA....wakanijibu kabla yake ilikuwa ngumu sana kula hii kitu kwan watalii walikata tukawa hatuna kazi, tunaipenda hii kitu, tunampenda rais ndio maana tunaiita SAMIA
 
Nipo nafurahi na comments za wanaokatazwa kula kitimoto na dini yao
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Hao wanaokukataza kula kitimoto unaweza kukuta wao ndio wabobezi wa kula vijambio vya kike na vya kiume...

Kula kitimoto, ni kinga ya UKIMWI
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Hamia saudia
 
IMG_8012.jpg

Nkutumie ka nmba kangu ka mpesa?
 
Anayekula kitimoto hashindwi kula konokono hata angekuwa halal nisingekula
 
Back
Top Bottom